RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalum na Afisa wa Shirika la Ndege Tanzania Ndg.Ali Hassan Nassor, baada ya kutembelea banda
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalum na Afisa wa Shirika la Ndege Tanzania Ndg.Ali Hassan Nassor, baada ya kutembelea banda la maonesho la Shirika hilo wakati wa ufunguzi wa Kongamano la 6 la Usafiri wa Anga wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, linalofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Verde Mtoni Zanzibar leo 15-5-2024