State House Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amewasili Jijini Darban Afrika Kusini

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongozana na mwenyeji wake Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini Mhe.Mashego Dlamini, alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa King Shaka Jijini Darban Afrika Kusini,kuhudhuria Mkutano wa Ufungfuzi wa Maonesho ya Kimataifa ya Biashara kwa Nchi za Afrika,utakaofanyika kesho 15-11-2021 Jijini Darban.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongozana na mwenyeji wake Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini Mhe.Mashego Dlamini, alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa King Shaka Jijini Darban Afrika Kusini,kuhudhuria Mkutano wa Ufungfuzi wa Maonesho ya Kimataifa ya Biashara kwa Nchi za Afrika,utakaofanyika kesho 15-11-2021 Jijini Darban
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongozana na mwenyeji wake Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini Mhe.Mashego Dlamini, alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa King Shaka Jijini Darban Afrika Kusini,kuhudhuria Mkutano wa Ufungfuzi wa Maonesho ya Kimataifa ya Biashara kwa Nchi za Afrika,utakaofanyika kesho 15-11-2021 Jijini Darban
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiongozana na mwenyeji wake Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini Mhe.Mashego Dlamini, alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa King Shaka Jijini Darban Afrika Kusini,kuhudhuria Mkutano wa Ufungfuzi wa Maonesho ya Kimataifa ya Biashara kwa Nchi za Afrika,utakaofanyika kesho 15-11-2021 Jijini Darban
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini Mhe.Mashego Dlamini,alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa King Shaka Darban Afrika Kusini, kuhudhuria Mkutano wa Ufunguzi wa Maonesho ya Kimataifa ya Biashara kwa Nchi za Afrika, unaotarajiwa kufanyika kesho 15/11/2021 Jijini Darban Afrika Kusini
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini Mhe.Mashego Dlamini,alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa King Shaka Darban Afrika Kusini, kuhudhuria Mkutano wa Ufunguzi wa Maonesho ya Kimataifa ya Biashara kwa Nchi za Afrika, unaotarajiwa kufanyika kesho 15/11/2021 Jijini Darban Afrika Kusini
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini Mhe.Mashego Dlamini,alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa King Shaka Darban Afrika Kusini, kuhudhuria Mkutano wa Ufunguzi wa Maonesho ya Kimataifa ya Biashara kwa Nchi za Afrika, unaotarajiwa kufanyika kesho 15/11/2021 Jijini Darban Afrika Kusini

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi ameshiriki Sala ya Ijumaa

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi (katikati) pamoja na Viongozi na Waumini na Wananchi wakiitikia Dua iliyoombwa na Mufti wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar kabi (kushoto) baada ya sala ya Ijumaa masjid Fatma Kibanda Hatari,kwa Sheikh Mohamed Ali Wilaya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi.
  • Waumini wa Dini ya Kiislamu na Wananchi wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) alipokuwa akiwasalimia leo baada ya Sala ya Ijumaa masjid Fatma Kibanda Hatari,kwa Sheikh Mohamed Ali Wilaya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi
  • Waumini wa Dini ya Kiislamu na Wananchi wakiitikia Dua iliyoombwa na Mufti wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar kabi (hayupo pichani) baada ya sala ya Ijumaa katika Masjid Fatma Kibanda Hatari,kwa Sheikh Mohamed Ali, Wilaya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekabidhiwa Ripoti ya Mdhibiti Mkuu wa Hesabu Za Serikali Ikulu Zanzibar

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisisitiza jambo wakati akizungumza na Mawaziri na Makatibu Wakuu baada ya kukabidhiwa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mawaziri na Makatibu Wakuu wa Wizara za SMZ baada ya kukabidhiwa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisisitiza jambo wakati akizungumza na Mawaziri na Makatibu Wakuu baada ya kukabidhiwa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe.Othman Masoud Othman,Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar.Mhe. Haroun Ali Suleiman, wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani)akizungumza baada ya kukabidhiwa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali.Dkt. Othman Abass Ali, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisisitiza jambo wakati akizungumza na Mawaziri na Makatibu Wakuu baada ya kukabidhiwa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Dkt.Othman Abass Ali, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe.Othman Masoud Othman,Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Jamal Kassim Ali, wakifuatilia Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Dkt.Othman Abass Ali.(hayupo pichani) akiwasilisha ripoti hiyo, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar Dkt.Othman Abass Ali akizungumza na kuwasilisha Ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali, kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) hafla hiyo iliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 11/11/2021 na kuhudhuriwa na Mawaziri na Makatibu Wakuu.
  • MAKATIBU Wakuu na Manaibu Makatibu Wakuu wa Wizara za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakifuatilia Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Dkt.Othman Abass Ali.(hayupo pichani) akiwasilisha ripoti hiyo kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.

Rais Dk.Mwinyi amekutana na Uongozi wa Amref Health Afrika.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo na Uongozi wa Shirika la Kimataifa la "Amref Health Africa in Tanzania" wakati Ulipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa kumpongeza Rais kwa kutimia mwaka Mmoja wa Uongozi wake pia kuhusu Shirika hilo linavyotekeleza kazi zake hapa Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Uongozi wa Shirika la Kimataifa la "Amref Health Africa in Tanzania" wakati ulipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa kumpongeza Rais kwa kutimia mwaka Mmoja wa Uongozi wake pia kuhusu Shirika hilo linavyotekeleza kazi zake hapa Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kimataifa la "Amref Health Africa in Tanzania" Dk.Florence Temu (katikati) na Mkuu wa Miradi wa Dr. Aisa Muya mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kimataifa la "Amref Health Africa in Tanzania" Dk.Florence Temu (wapili kulia) alipokuwa akielezea masuala mbali mbali akiwa na Ujumbe wake aliofuatana nao walipofika Ikulu Jijini Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akipokea cheti maalum cha pongezi kwa kutimia mwaka Mmoja wa Uongozi wake kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Kimataifa la "Amref Health Africa in Tanzania" Dk.Florence Temu wakati Uongozi wa Shirika hilo ulipofika Ikulu Jijini Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Balozi wa Jamhuri ya Ireland Nchini Tanzania.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo na Mgeni wake Balozi wa Jamhuri ya Ireland Nchini Tanzania Bibi.Mary O'Nell alipofika kujitambulisha Ikulu jijini Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimsikiliza Mgeni wake Balozi wa Jamhuri ya Ireland Nchini Tanzania Bibi.Mary O'Nell wakati wa mazungumzo yao alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambulisha
  • Balozi wa Jamuhuri ya Ireland Nchini Tanzania Bibi.Mary O'Nell wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiagana na Mgeni wake baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ikulu jijini Zanzibar pamoja na kujitambulisha.