Ikulu Blog

Maadhimisho ya Tatu ya wiki ya Utumishi wa Umma Zanzibar.

Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe Dk.Hussein Ali Mwinyi amehudhuria Kikao Cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Ujumbe wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki Ikulu Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wananchi wa Unguja Ukuu Kae Pwani Masjid Nour katika Sala ya Ijumaa

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Balozi wa ShirikisholLa Jamhuri ya Ujerumani Nchini Tanzania.