State House Blog

Ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi (katikati) akifuatana na Viongozi wakati alipokuwa akitembelea Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi (kushoto) pamoja na Viongozi wengine wakipata maelezo kutoka Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko Mhe.Omar Said Shaaban katika hafla ya ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar, Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Kanda wa kampuni ya Simu ya TIGO Ndg,Aziz Said Ali wakati alipotembelea mabanda ya Maonesho katika hafla ya ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (kulia) Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko Mhe.Omar Said Shaaban
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi (katikati) wakiwa pungia mikono wananchi waliofika katika hafla ya ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
  • Baadhi ya wanancho waliohudhuria katika sherehe za Ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi.
  • Baadhi ya wanancho waliohudhuria katika sherehe za Ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi.
  • Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (wa pili kushoto) akipokea zawadi maalum kutoka kwa Meneja Msaidizi wa Fedha na Utawala Ndg.Devotha Herman,wakati alipojumuka katika sherehe za ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (kushoto) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akishudia (kulia) Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko Mhe.Omar Said Shaaban
  • Baadhi ya wananchi waliohudhuria katika sherehe za Ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa pili kushoto) akipokea zawadi maalum kutoka kwa Meneja Msaidizi wa Fedha na Utawala Ndg.Devotha Herman,mara baada ya kufungua Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (kushoto) Mke wa Rais Mama Mariam Mwinyi (kulia) Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko Mhe.Omar Said Shaaban
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa Kanda wa kampuni ya Simu ya TIGO Ndg,Aziz Said Ali wakati alipotembelea mabanda ya Maonesho katika hafla ya ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (katikati) Mke wa Rais Mama Mariam Mwinyi
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi (kushoto) wakipata maelezo kutoka kwa Bw.Masoud Ali wa Azam wakati alipotembelea mabanda ya Maonesho katika hafla ya ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar (katikati) Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko Mhe.Omar Said Shaaban na Katibu Mkuu wa Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko Ndg.Ali Khamis.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi (katikati) wakipata maelezo kutoka kwa Mkurughenzi Mkuu wa Shrika la Utangazaji Ndg.Ramadhani Bukini (kushoto) alipotembelea mabanda ya Maonesho katika hafla ya ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara, Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Unguja.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akisalimiana na Viongozi wakati alipowasili katika ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar,Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akifungua pazia kuashiria ufunguzi wa Eneo la Maonesho ya Biashara na Tamasha la 10 la Biashara Zanzibar, Nyamanzi Wilaya ya Magharibi "B" Mkoa wa Mjini Magharibi leo ni katika maadhimisho ya shamra shamra za miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar