Ikulu Blog

Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwiny katika mkutano na Wafanya Biashara Zanzibar.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatana na Waziri wa Kazi,Uchumi na Uwekezaji Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga wakati alipowasili katika ukumbi wa Sheikh Idriss AbdulWakil Kikwajuni Jijini Zanzibar katika Mkutano na Wafanyabiashara wa Zanzibar uliofanyika leo
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akitoa hotuba yake kwa Wafanyabiashara wa Zanzibar uliofanyika leo katika ukumbi wa Sheikh Idriss AbdulWakil Kikwajuni Jijini Zanzibar ili kujua kero mbali mbali zinazowakabili katika uendeshaji wa Biashara zao nchini
  • Baadhi ya Wafanyabishara wa Makampuni mbali mbali wakisikiliza mada zilizotolewa katika Mkutano na Wafanyabiashara wa Zanzibar uliofanyika leo katika Ukumbi Sheikh Idriss Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar chini Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akitoa hotuba yake katika Mkutano na Wafanyabiashara wa Zanzibar uliofanyika leo katika ukumbi wa Sheikh Idriss AbdulWakil Kikwajuni Jijini Zanzibar
  • Baadhi ya Wafanyabishara wa Makampuni mbali mbali Zanzibar wakiwa katika Mkutano wa pamoja na taasisi mbali mbali za Serikali uliofanyika leo katika Ukumbi Sheikh Idriss Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar chini Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akiwa katika Mkutano na Wafanyabiashara wa Zanzibar uliofanyika leo katika Ukumbi Sheikh Idriss Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar (kushoto) Makamo wa Pili wa Rais Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na Waziri wa Kazi,Uchumi na Uwekezaji Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akiongoza mazungumzo ya pamoja na Wafanyabishara wa Zanzibar yaliyofanyika leo katika ukumbi wa Sheikh Idriss AbdulWakil Kikwajuni Jijini Zanzibar wakiwepo Waziri wa Kazi,Uchumi na Uwekezaji Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga (watatu kulia) Makamo wa Pili wa Rais Mhe.Hemed Suleiman Abdulla (wa tatu kushoto) pamoja na Viongizi wengine
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akitoa hotuba yake katika Mkutano na Wafanyabiashara wa Zanzibar uliofanyika leo katika ukumbi wa Sheikh Idriss AbdulWakil Kikwajuni Jijini Zanzibar (kutoka kushoto) Waziri wa Kazi,Uchumi na Uwekezaji Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga,Kaimu Mwenyekiti wa ZNCC Nd.Ali Amour na Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akitoa hotuba yake katika Mkutano na Wafanyabiashara wa Zanzibar uliofanyika leo katika ukumbi wa Sheikh Idriss AbdulWakil Kikwajuni Jijini Zanzibar (kutoka kushoto) Waziri wa Kazi,Uchumi na Uwekezaji Mhe. Mudrik Ramadhan Soraga,Kaimu Mwenyekiti wa ZNCC Nd.Ali Amour na Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa.
  • Baadhi ya Wafanyabishara wa Makampuni mbali mbali wakisikiliza mada zilizotolewa katika Mkutano na Wafanyabiashara wa Zanzibar uliofanyika leo katika Ukumbi Sheikh Idriss Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar chini Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
  • Wafanyakazi wa Taasisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakiwa katika Mkutano na Wafanyabiashara wa Zanzibar uliofanyika leo katika Ukumbi Sheikh Idriss Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar chini Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
  • Wafanyakazi wa Taasisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wakiwa katika Mkutano na Wafanyabiashara wa Zanzibar uliofanyika leo katika Ukumbi Sheikh Idriss Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar chini Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)
  • Baadhi ya Wafanyabishara wa Makampuni mbali mbali Zanzibar wakiwa katika Mkutano wa pamoja na taasisi mbali mbali za Serikali uliofanyika leo katika Ukumbi Sheikh Idriss Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar chini Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani)

Rais wa Zanzibar Alhajj Dk.Mwinyi amejumuika na waumoni wa dini ya kiislam katika Sala ya Ijumaa

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Kitwana Mustafa, baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Istiqaama Shangani Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waumini wa Kiislam baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Istiqaama Shangani mji mkongwe Jijini Zanzibar leo 4/12/2020 na kuwataka Wananchi kuilinda amani Nchini
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Viongozi wa Masjid Istiqaama Shangani Jijini Zanzibar, baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Istiqaama
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waumini wa Kiislam baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Istiqaama Shangani mji mkongwe Jijini Zanzibar leo 4/12/2020 na kuwataka Wananchi kuilinda amani Nchini
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Waumini wa Kiislam wakiitikia dua ikisomwa na Sheikh. Mudathir, na (kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Omar Saleh Kabi, baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Istiqaama Shangani Jijini Zanzibar

Dk. Hussein Mwinyi amewaapisha Wakuu wa Mikoa aliowateua hivi karibuni.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja aliyemteua hivi karibuni Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020
  • MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla, Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi na Utawala Bora.Mhe.Haroun Ali Suleiman na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ.Mhe.Masoud Ali Mohammed, wakifuatilia hafla ya uapishaji wa Wakuu wa Mikoa walioteuliwa hivi karibuni, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • WAKUU wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) baada ya kuwaapisha Wakuu wa Mikoa wapya,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020.
  • WAKUU wa Wilaya na Wanafamilia wakifuatila hafla ya kuapishwa kwa Wakuu wa Mikoa wa Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar wakiapishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) hafla hiyo imefanyika leo 3/12/2020
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba aliyemteua hivi karibu Mhe.Mattar Zahor Masoud, hafla hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba aliyemteua hivi karibu Mhe.Mattar Zahor Masoud, hafla hiyo imefanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba aliyemteua hivi karibuni Mhe Salama Mbarouk Khatib, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja aliyemteua hivi karibuni Mhe Idrisa Kitwana Mustafa, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo 3/12/2020 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba aliyemteua hivi karibuni Mhe Salama Mbarouk Khatib, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja aliyemteua hivi karibuni Mhe Idrisa Kitwana Mustafa, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo 3/12/2020 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja aliyemteua hivi karibuni Mhe. Rashid Hadidu Rashid, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo 3/12 /2020 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja aliyemteua hivi karibuni Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia baada ya kumaliza kuwaapisha Wakuu wa Mikoa wa Zanzibar katika hafla iliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia baada ya kumaliza kuwaapisha Wakuu wa Mikoa wa Zanzibar katika hafla iliofanyika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020
  • WAKUU wa Mikoa Wapya wa Zanzibar wakifuatili kwa makini hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia baada ya kumaliza kuwaapisha katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020.
  • WA KWANZA kutoka kushoto Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid, Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Dkt. Abdulhamid Yahya Mzee, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mhe.Dkt. Mwinyi Talib Haji na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia baada ya kuwaapisha Wakuu wa Mikoa wa Zanzibar aliowateua hivi karibuni, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • WAKUU wa Mikoa Wapya wa Zanzibar wakifuatili kwa makini hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akihutubia baada ya kumaliza kuwaapisha katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020.
  • WAKUU wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) baada ya kuwaapisha Wakuu wa Mikoa wapya,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 3/12/2020.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja aliyemteua hivi karibuni Mhe. Rashid Hadidu Rashid, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo 3/12 /2020 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na uongozi wa NBC

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NBC Tanzania Nd.Theobald Sabi akiongoza Ujumbe wa Benki hiyo walipokutana na Rais leo katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NBC Tanzania Nd.Theobald Sabi akiongoza Ujumbe wa Benki hiyo aliofuatana nao walipokutana na Rais leo katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NBC Tanzania Nd.Theobald Sabi akiongoza Ujumbe wa Benki hiyo aliofuatana nao walipokutana na Rais leo katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NBC Tanzania Nd.Theobald Sabi akiongoza Ujumbe wa Benki hiyo walipokutana na Rais leo katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya NBC Tanzania Nd.Theobald Sabi akiongoza Ujumbe wa Benki hiyo aliofuatana nao walipokutana na Rais leo katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar

Timu ya Mlandege wakabidhiwa Fedha.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na wafanyabiashara na Viongozi wa Timu ya Mpira ya Mlandege leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar katika hafla ya kukadidhiwa fedha Timu ya Mpira ya Mlandege inayotarajiwa kusafiri kwenda nchini Tunis,Tunisia katika mashindano ya Club Bingwa Barani Afrika na Timu ya CS SFAXIEN ya Tunisia
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na wafanyabiashara na Viongozi wa Timu ya Mpira ya Mlandege leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar katika hafla ya kukadidhiwa fedha Timu ya Mpira ya Mlandege inayotarajiwa kusafiri kwenda nchini Tunis,Tunisia katika mashindano ya Club Bingwa Barani Afrika na Timu ya CS SFAXIEN ya Tunisia.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia)akimkabidhi fedha tasilim za KitanzaniaMillioni Thalathini na Tano Mwenyekiti wa Timu ya Mpira wa Miguu ya Mlandege Nd.Ali Khatib Dai,ambapo Timu hiyo inatarajiwa kusafiri kwenda nchini Tunis,Tunisia katika mashindano ya Club Bingwa Barani Afrika na Timu ya CS SFAXIEN ya Tunisia .