State House Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi amekutana na kufanya mazungumzo na uongozi wa AFREXIM Bank kutoka nchini Misri, uliofika Ikulu Jijini Zanzibar .

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidha zawadi maalum ya Mlango wa Zanzibar (Zanzibar Door) Makamu wa Rais Mtendaji wa Afrexim Bank Bw. Amr Kamel, baada ya kumalizika kwa mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar 16-2-2022.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Afrexim Bank kutoka Nchini Egypt ukiongozwa na Makamu wa Rais Mtendaji Bw,Amr Kamel (kulia kwa Rais) wakipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 16-2-2022.na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanja Zanzibar Mhe.Omar Said Shaban na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidha zawadi maalum ya Mlango wa Zanzibar (Zanzibar Door) Makamu wa Rais Mtendaji wa Afrexim Bank Bw.Amr Kamel, baada ya kumalizika kwa mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar 16-2-2022.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Afrexim Bank kutoka Nchini Egypt ukiongozwa na Makamu wa Rais Mtendaji Bw,Amr Kamel (kulia kwa Rais) wakipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 16-2-2022.na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanja Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Afrexim Bank kutoka Nchini Egypt ukiongozwa na Makamu wa Rais Mtendaji Bw,Amr Kamel (kulia kwa Rais) wakipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 16-2-2022.na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanja Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said.

Miaka 20 ya Gazeti la Zanzinbar leo

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akimkabidhi zawadi Mkurugenzi Mtendaji wa Gazeti la Zanzibar leo Nd,Ali Haji Mwadini katika sherehe za kutimia miaka 20 ya gazeti hilo tokea kuanzishwa kwake katika ukumbi Golden Tulip Hotel Kiembesamaki nje ya Jiji la Zanzibar(katikati) Waziri wa Habari,Utamaduni na Michezo Mhe.Tabia Maulid Mwita na Dkt.Ali Mwinyikai muanzilishi
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akimkabidhi zawadi Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt.Amani Abeid Karume (kushoto) aliyeanzisha Gazeti la Zanzibar leo katika sherehe za kutimia miaka 20 ya gazeti hilo katika ukumbi Golden Tulip Hotel Kiembesamaki nje ya Jiji la Zanzibar (kulia) Waziri wa Habari,Utamaduni na Michezo Mhe.Tabia Maulid Mwita .
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akimkabidhi zawadi Waziri wa Habari,Utamaduni na Michezo Mhe.Tabia Maulid Mwita katika sherehe za kutimia miaka 20 ya gazeti la Zanzibar leo tokea kuanzishwa kwake katika ukumbi Golden Tulip Hotel Kiembesamaki nje ya Jiji la Zanzibar.
  • Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt.Amani Abeid Karume akiwa muanzilishi wa Gazeti la Zanzibar leo akiangalia muonekeno mpya wa gazeti hilo mara baada ya uzinduzi uliofanywa na Rais wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika sherehe za kutimia miaka 20 zilizofanyika katika ukumbi Golden Tulip Hotel Kiembesamaki nje ya Jiji la Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi wa muonekano mpya wa Gazeti la zanzibar leo wakati wa sherehe za kutimia miaka 20 ya gazeti hilo tokea kuanzishwa kwake katika ukumbi Golden Tulip Hotel Kiembesamaki nje ya Jiji la Zanzibar ambapo muanzilishi wa Gazeti hilo Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Dkt.Amani Abeid Karume alikuwepo katika sherehe hiyo.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitoa hutuba yake katika sherehe za kutimia miaka 20 ya gazeti la Zanzibar leo tokea kuanzishwa kwake katika ukumbi Golden Tulip Hotel Kiembesamaki nje ya Jiji la Zanzibar.
  • Baadhi ya Wafanyakazi wa Gazeti la Zanzibar leo wakiwa katika sherehe za kutimia miaka 20 ya gazeti hilo tokea kuanzishwa kwake zilizofanyika katika ukumbi Golden Tulip Hotel Kiembesamaki nje ya Jiji la Zanzibarmgeni rasmi alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani).
  • Baadhi ya Waalikwa na wafanyakazi wa Gazeti la Zanzibar leo wakiwa katika sherehe za kutimia miaka 20 ya gazeti hilo tokea kuanzishwa kwake zilizofanyika katika ukumbi Golden Tulip Hotel Kiembesamaki nje ya Jiji la Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitoa hutuba yake katika sherehe za kutimia miaka 20 ya gazeti la Zanzibar leo tokea kuanzishwa kwake katika ukumbi Golden Tulip Hotel Kiembesamaki nje ya Jiji la Zanzibar.

Kilele cha siku ya Sheria Zanzibar

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi(kulia) alipokuwa akitoa hutuba yake katika Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar yaliyofanyika katika Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar(kushoto) Kaimu jaji Mkuu wa Zanzibar Jaji Khamis Ramadhan Abdalla Shaaban,Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Jaji Mustapha Siyani (wa pili Kushoto) na Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) alipokuwa akiagana na Kaimu jaji Mkuu wa Zanzibar Jaji Khamis Ramadhan Abdalla Shaaban (katikati) Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa na Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania Jaji Mustapha Siyani(kushoto)mara baada ya kutoa hutuba yake katika Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar.
  • Baadhi ya Mawakili wakiwa katika katika sherehe za Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar yaliyofanyika leo katika Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani).
  • Baadhi ya Majaji na Mawakili wa Serikali na Kujitegemea wakiwa katika katika sherehe za Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar yaliyofanyika leo katika Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani).
  • Wafanyakazi wa Mahkama na Mawakili wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) alipokuwa akitoa hutuba yake katika Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar yaliyofanyika leo katika Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
  • Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama pamoja na waalikwa mbali mbali wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) alipokuwa akitoa hutuba yake katika Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar yaliyofanyika leo katika Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Kaimu jaji Mkuu wa Zanzibar Jaji Khamis Ramadhan Abdalla Shaaban (katikati) akiwa na Viongozi wengine wakati alipowasili viwanja vya Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni katika Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akiwa na Viongozi wengine wakisimama wakati Wimbo wa Taifa ukipigwa katika Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar yaliyofanyika leo Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akifuatana na Waziri wa Ncho Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman (kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe,Idrissa Kitwana Mustafa wakati alipowasili viwanja vya Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni katika Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar.
  • Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama wakipiga Saluti wakati Wimbo wa Taifa ukipigwa katika Kilele cha maadhimisho ya Siku ya Sheria Zanzibar yaliyofanyika leo Ukumbi wa Sheikh Idrissa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar

Maadhimisho ya kilele cha Miaka 45 ya Chama cha Mapinduzi Mkoani Mara.

  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe.Mama Samia Suluhu Hassan(kulia)akiagana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi(katikati) pamoja na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Mhe.Kassim Majaliwa majaliwa ikiwa mwisho wa kumalizika kwa sherehe za maadhimisho ya miaka 45 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapindfuzi (CCM) zilizofanyika Mkoani Mara.
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe.Mama Samia Suluhu Hassan akitoa Hutuba yake kwa Wananchin na Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)katika maadhimisho ya miaka 45 ya kuzaliwa kwa Chama hicho,sherehe zilizofanyika katika uwanja wa Karume Wilaya ya Musoma Mkoani Mara.
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe.Mama Samia Suluhu Hassan akionesha kadi yake mpya No1 ya CCM kwa Waanchi na Wanachama,yenye mfumo wa kieletroniki mara baada ya kukabidhiwa na Katibu Mkuu wa CCM Taifa Daniel Chongolo (kulia) leo katika maadhimisho ya miaka 45 ya kuzaliwa kwa Chama hicho,sherehe zilizofanyika katika uwanja wa Karume Wilaya ya Musoma Mkoani Mara.
  • Vijana wa Chama cha Mapinduzi UVCCM wakishangilia wakati sherehe za Maadhimsho ya Miaka 45 ya kuzaliwa kwa Chama hicho zikiendelea leo katika uwanja wa Karume Wilaya ya Musoma Mkoani Mara.
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe.Mama Samia Suluhu Hassan akipokea kadi mpya No1 ya CCM yenye mfumo wa kieletroniki kutoka kwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa Daniel Chongolo katika maadhimisho ya miaka 45 ya kuzaliwa kwa Chama hicho sherehe zilizofanyika katika uwanja wa Karume Wilaya ya Musoma Mkoani Mara.
  • Baadhi ya Viongozi wa Chama wakishudia harakati za sherehe za maadhimisho ya miaka 45 ya kuzaliwa kwa Chama hicho,zikiendelea leo katika uwanja wa Karume Wilaya ya Musoma Mkoani Mara ambapo mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe.Mama Samia Suluhu Hassan.
  • WanaChama wa CCM na Wananchi wakiwa katika Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 45 ya kuzaliwa Chama hicho katika Uwanja wa Karume Wilaya ya Musoma Mkoani Mara mgeni Rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe.Mama Samia Suluhu Hassan.
  • WanaChama wa CCM na Wananchi wakisikiliza Hotuba iliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pia Mwenyekiti wa CCM Taifa Mhe.Mama Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) wakati wa Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 45 ya kuzaliwa Chama hicho katika Uwanja wa Karume Wilaya ya Musoma Mkoani Mara
  • Halaiki ya Vijana katika maadhimisho ya Miaka 45 ya kuzaliwa kwa Ccm Mkoani Mara.

Rais wa Zanzibar akiagana na Viongozi,mbali mbali katika Uwanja wa Ndege Zanzibar.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Marium Mwinyi wakiagana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa(kulia) pamoja na Viongozi wengine wa Chama na Serikali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Kiembesamaki Zanzibar wakati wakiondoka kuelekea Mkoani Mwanza ambapo atahudhuria Sherehe za Miaka 45 ya Chama cha Mapinduzi CCM Musoma.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Marium Mwinyi wakiagana na Viongozi wakuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama pamoja na Wazee wa Chama cha Mapinduzi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Kiembesamaki Zanzibae wakati wakiondoka kuelekea Mkoani Mwanza ambapo atahudhuria Sherehe za Miaka 45 ya Chama cha Mapinduzi CCM Musoma.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Marium Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa CCM Mwanza pamoja na Viongozi wengine mara alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza akiwa safarini kuelekea Musoma Mkoani Mara. akihudhuria Sherehe za Miaka 45 ya Chama cha Mapinduzi CCM.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Marium Mwinyi akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel Luhumbi pamoja na Viongozi wengine mara alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Mwanza akiwa safarini kuelekea Musoma Mkoani Mara. akihudhuria Sherehe za Miaka 45 ya Chama cha Mapinduzi CCM.