State House Blog

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi ameongoza maziko ya marehemu Said Bakari Jecha aliyewahi kuwa Waziri wa SMZ yaliofanyika Fumba.

  • SHEIKH Said Ali Talib akisoma dua baada ya kumalizika kwa maziko ya Marehemu Said Bakari Jecha yaliyofanyika Kijijini kwao Fumba Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiweka mchanga katika kaburi la Marehemu Said Bakari Jecha aliyewahi kuwa Waziri wa SMZ, maziko hayo yamefanyika Kijijini kwao Fumba Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.
  • RAIS Mstaaf wa Zanzibar Alhaj Dkt.Amani Karume akiweka mchanga katika kaburi la Marehemu Said Bakari Jecha aliyewahi kuwa Waziri wa SMZ, maziko hayo yamefanyika Kijijini kwao Fumba Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Sheikh. Mahadhi Mahadhi Abdalla, baada ya kumalizika kwa Sala ya kuusalia mwili wa Marehemu Said Bakari Jecha aliyewahi kuwa Waziri wa SMZ, maziko hayo yaliyofanyika Kijijini kwao Fumba na (kulia kwa Rais) Sheikh.Khamis Mussa na Mume wa Rais wa Tanzania Mhe Khafidh Ameir.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amewasili Zanzibar baada ya kumaliza ziara yake UAE.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar kuhusiana na ziara yake katika Nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (U.A.E) mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa VIP Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar.
  • WAANDISHI wa Habari wa vyombo mbalimbali wakifuatilia mkutano wao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) uliofanyika katika Ukumbi wa VIP Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, baada ya kuwasili Zanzibar akitokwa Nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (U.A.E).
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali vilioko Zanzibar kuhusiana na ziara yake katika Nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu(U.A.E) mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa VIP Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Mustafa Kitwana na Viongozi wa Serikali baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, akitokea katika Nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu (U.A.E) baada ya kumaliza ziara yake ya Kiserikali ya Siku Tatu.
  • MWANDISHI wa Habari wa ITV na Nipashe Zanzibar Bw., Farouk Karim akiuluza suali wakati wa mkutano wao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) kuhusiana na ziara yake.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika chumba cha VIP Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, baada ya kuwasili Zanzibar na kuzungumzo na Waandishi wa habari kuhusiana na ziara yake (U.A.E) na (kulia kwa Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Katiba, Sheria,Utumishi na Utawala Bora.Mhe.Haroun Ali Suleiman na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar akitokea Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu (U.A.E) baada ya kumaliza ziara yake ya siku Tatu ya Kiserikali.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amekutana na kuzungumza na Uongozi wa Kampuni ya IHC ya Abu Dhabi

  • Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) Bw.Shariff Ali Shariff akizungumza na kutowa maelezo ya fursa za Uwekezaji Zanzibar ,wakati wa mkutano wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto ) na Uongozi wa Kampuni ya “International Holding Company” (IHC) ya Abu Dhabi ukiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo Bw.Syed Basar Shueb.na (kushoto kwa Rais) Balozi wa Tanzania Nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu.Mhe. Balozi Mohammed Abdalla Mtonga.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya “International Holding Company“(IHC) Bw.Syed Basar Shueb akizungumza katika mkutano huo kuhusiana na fursa za uwekezaji Zanzibar katika sekta mbalimbali za uchumi, uliofanyika katika ukumbi wa Kampuni hiyo Abu Dhabi 18-1-2022
  • MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya “International Holding Company”(IHC) ya Abu Dhabi Bw.Syed Basar Shueb (katikati) akiwa na Ujumbe wake akisoma kitabu cha muongozo wa Uekezaji Zanzibar,wakati wa mkutano wake na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) uliofanyika katika ukumbi wa kampuni hiyo Abu Dhabi leo 18-1-2022.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Uongozi wa Kampuni ya “International Holding Company “ (IHC) ya Abu Dhabi ukingozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo Bw.Syed Basar Shueb, kuzungumzia masuala ya Uwekezaji Zanzibar, mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Kampuni hiyo Abu Dhabi leo 18-1-2022, na (kushoto kwa Rais) Balozi wa Tanzania (UAE) Mhe. Balozi Mohammed Abdalla Mtonga.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Uongozi wa Kampuni ya “International Holding Company “ (IHC) ya Abu Dhabi ukiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo Bw.Syed Basar Shueb, kuzungumzia masuala ya Uwekezaji Zanzibar, mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Kampuni hiyo Abu Dhabi leo 18-1-2022, na (kushoto kwa Rais) Balozi wa Tanzania (UAE) Mhe. Balozi Mohammed Abdalla Mtonga na (kulia kwa Rais) Mkurugenzi Mtendaji wa ZIPA Bw, Shariff Ali Shariff.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kufanya Mazungumzo na Waziri wa Nchi anayeshughulikia Mambo ya Nje Sheikh. Shakhboot Nahyan , akiwa katika ziara yake U.A.E.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni wake Waziri wa Nchi Anayeshughulikia Mambo ya Nje. Sheikh.Shakhboot Nahyan Al Nahyan, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Saadiyat Rotana Abu Dhabi.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi maalum ya Mlango wa Zanzibar wake Waziri wa Nchi Anayeshughulikia Mambo ya Nje.Sheikh. Shakhboot Nahyan Al Nahyan,baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Saadiyat Rotana Abu Dhabi.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Waziri wa Nchi Anayeshughulikia Mambo ya Nje.Sheikh.Shakhboot Nahyan Al Nahyan, alipofika kumuona na kufanya mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Saadiyat Rotana Abu Dhabi mazungumzo hayo yamefanyika 18-1-2022.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi maalum Sanduku la Kasha mgeni wake Waziri wa Nchi Anayeshughulikia Mambo ya Nje. Sheikh. Shakhboot Nahyan Al Nahyan, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Saadiyat Rotana Abu Dhabi.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na mgeni wake Waziri wa Nchi Anayeshughulikia Mambo ya Nje Sheikh.Shakhboot Nahyan Al Nahyan, alipofika katika ukumbi wa Hoteli ya Saadiyat Rotana Abu Dhabi kwa ajili ya mazungumzo yaliyofanyiki 18-1-2022.(kulia kwa Rais) Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu Mhe. Mohammed Abdalla Mtonga.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Waziri wa Nchi Anayeshughulikia Mambo ya Nje.Sheikh.Shakhboot Nahyan Al Nahyan, alipofika kumuona na kufanya mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Saadiyat Rotana Abu Dhabi mazungumzo hayo yamefanyika 18-1-2022
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na mgeni wake Waziri wa Nchi Anayeshughulikia Mambo ya Nje Sheikh.Shakhboot Nahyan Al Nahyan, alipofika katika ukumbi wa Hoteli ya Saadiyat Rotana Abu Dhabi kwa ajili ya mazungumzo yaliyofanyiki leo 18-1-2022.(kulia kwa Rais)Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Nchi ya Umoja wa Falme za Kiarabu Mhe.Mohammed Abdalla Mtonga.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameshuhudia Utiaji wa Saini miradi miwili mikubwa ya Uwekezaji katika Sekta ya Utalii Zanzibar.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Muwekekezaji wa Kampuni ya Eagle Hills Regionals Properties ya (U.A.) wakati wa utiaji wa Saini wa Miradi miwili mikubwa ya Uwekezaji Zanzibar, baina ya Kampuni hiyo na SMZ, hafla iliyofanyika Dubai Umoja wa Nchi wa Falme za Kiarabu.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (aliyesimama katikati) akishuhudia ubadilishanaji wa hati za utiaji wa saini wa Miradi mikubwa miwili ya Uwekezaji katika Sekta ya Utani Zanzibar,kati ya SMZ na Kampuni ya Eagle Hills Regionals ya U.A.E, hafla hiyo iliyofanyika Dubai, kwa upande wa SMZ amesaini Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) Ndg. Shariff Ali Shariff na kwa upande wa Kampuni ya Eagle Hills Regional Properties ya (U.E.A) amesaini Bw.Mohammed Ali Rashid Al-Abbar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (aliyesimama katikati) akishuhudia utiaji wa saini ya Miradi mikubwa miwili ya Uwekezaji katika Sekta ya Utani Zanzibar,kati ya SMZ na Kampuni ya Eagle Hills Regionals ya U.A.E, hafla hiyo imefanyika Dubai, kwa upande wa SMZ amesaini Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) Ndg. Shariff Ali Shariff na kwa upande wa Kampuni ya Eagle Hills Regional Properties ya (U.E.A) amesaini Bw.Mohammed Ali Rashid Al-Abbar.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (aliyesimama katikati) akishuhudia ubadilishanaji wa hati za utiaji wa saini wa Miradi mikubwa miwili ya Uwekezaji katika Sekta ya Utani Zanzibar,kati ya SMZ na Kampuni ya Eagle Hills Regionals ya U.A.E, hafla hiyo iliyofanyika Dubai, kwa upande wa SMZ amesaini Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) Ndg. Shariff Ali Shariff na kwa upande wa Kampuni ya Eagle Hills Regional Properties ya (U.E.A) amesaini Bw.Mohammed Ali Rashid Al-Abbar.