Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Uongozi wa ZSSF
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi(katikati)akisisitiza jambo wakati alipokuwa na mazungumzo na Uongozi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF alipokutanana nao leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi(katikati)alipokuwaakizungumza na Uongozi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF alipokutanana nao leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
Katibu wa Baraza la Mapinduzi pia Katibu Mkuu Kiongozi Injinia Zena Ahmed said (kushoto) alipokuwa akifafanua jambo wakati wa kikao cha Uongozi wa Mfuko ya Hifadhi ya Jamii Zanzibar ZSSF chini ya Mwenyekiti wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) kilichofanyika leo katika Ukumbi wa Mikutano Ikulu Jijini Zanzibar
Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Mchezaji wa Kimataifa wa Timu ya Crystal Palace Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Mchezaji wa Kimataifa wa Timu ya Crystal Palace ya Uingereza.Mamadou Sakho akiwa na mkewe Majda Sakho, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Mchezaji wa Kimataifa wa Timu ya Crystal Palace ya Uingereza. Mamadou Sakho akiwa na mkewe Majda Sakho, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mchezaji wa Kimataifa wa Timu ya Crystal Palace ya Uingereza Mamadou Sakho akiwa na Mkewe.Majda Sakho,alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yalionyika katika ukumbi wa Ikulu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na mgeni wake mchezaji wa Kimataifa wa Timu ya Crystal Palace ya Uingereza, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya mlango wa Zanzibar mgeni wake Mchezaji wa Kimataifa wa Timu ya Crystal Palace ya Uingereza Mamadou Sakho akiwa na mkewe Majda Sakho, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya mlango wa Zanzibar mgeni wake Mchezaji wa Kimataifa wa Timu ya Crystal Palace ya Uingereza Mamadou Sakho akiwa na mkewe Majda Sakho, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Ccm Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amezungumza na Viongozi wa CCM nNa Mabalozi wao.
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wac Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa CCM na Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Magharibi Kichama wakati wa ziara yake kuzungumza na Viongozi hao na kutowa shukrani zake, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amaan Jijini Zanzibar.
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wac Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa CCM na Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Magharibi Kichama wakati wa ziara yake kuzungumza na Viongozi hao na kutowa shukrani zake, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amaan Jijini Zanzibar.
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wac Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa CCM na Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Magharibi Kichama wakati wa ziara yake kuzungumza na Viongozi hao na kutowa shukrani zake, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amaan Jijini Zanzibar.
VIONGOZI wa CCM na Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Magharibi Unguja Kichana wakimsikiliza Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Tanzania ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na Viongozi hao wakati wa ziara yake na kutowa shukrani kwa Viongozi hao katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amaan Jijini Zanzibar.
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Katibu wa CCM Mkoa wa Magharibi Kichama Ndg. Mgeni Mussa Haji.(hayupo pichani) akiwasilisha salamu za Mkoa katika mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Amaa Mkoa, akiwa katika ziara yake katika Mkoa huo.
KIONGOZI wa CCM Jimbo la Welezo Ndg.Ramadhani Ali Juma akizungumza katika hafla ya mkutano wa Viongozi na Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Magharibi Kichama, wakati wa ziara ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi(hayupo pichani) mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amaan Jijini Zanzibar.
KIONGOZI wa CCM Jimbo la Fuoni Zanzibar Ndg.Juma Mohammed Ahmed akizungumza katika hafla ya mkutano wa Viongozi na Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Magharibi Kichama, wakati wa ziara ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi(hayupo pichani) mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amaan Jijini Zanzibar.
BAADHI ya Viongozi na Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Magharibi Kichama wakimsikiliza Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) wakati wa ziara yake katika Mkoa huo na kutowa shukrani zake kwa Vuiongozi hao
KIONGOZI wa CCM kutoka Jimbo la Bububu Bi. Mwanajuma Mashaka akichangia na kuwasilisha kero zake wakati wa mkutano na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwa katika ziara yake katika Mkoa wa Magharibi Kichama, mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa Amaan Jijini Zanzibar.
BAADHI ya Mabalozi na Viongozi wa CCM Mkoa wa Magharibi Kichama wakiwa wamesimama wakati Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi. Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwasili katika ukumbi wa mkutano wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amaan Jijini Zanzibar, akiwa katika ziara yake katika Mkoa huo.
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa amesimama baada ya kuwasili katika ukumbi wa Amaan CCM Mkoa, akiwa katika ziara yake ya Kichama kuzungumza na Viongozi na Mabalozi wa CCM, na (kushoto kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr. Abdalla Juma Mabodi na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini Magharibi Kichama Ndg.Mohammed Rajab Soud.
BAADHI ya Viongozi wa CCM Mkoa wa Magharibi Unguja Kichama wakiwa wamesimama wakati Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akiwasili katika ukumbi wa mkutano wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amaan, akiwa katika ziara yake kuzungumza na Viongozi na Mabalozi wa CCM na kutowa shukrani zake kwa Viongozi hao.
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongzozi wa CCM Mkoa wa Mjini Unguja.
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa CCM wa Mkoa wa Mjini Kichama wakati wa ziara yake kutowa shukrani zake kwa Viongozi hao, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa CCM Mkoa Amaan Jijini Zanzibar.
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa CCM wa Mkoa wa Mjini Kichama wakati wa ziara yake kutowa shukrani zake kwa Viongozi hao, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa CCM Mkoa Amaan Jijini Zanzibar.
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa CCM wa Mkoa wa Mjini Kichama wakati wa ziara yake kutowa shukrani zake kwa Viongozi hao, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa CCM Mkoa Amaan Jijini Zanzibar
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Viongozi wa CCM wa Mkoa wa Mjini Kichama wakati wa ziara yake kutowa shukrani zake kwa Viongozi hao, mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa CCM Mkoa Amaan Jijini Zanzibar
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr.Abdalla Juma Sadala(Mabodi) akizungumza katika hafla hiyo kabla ya kumkaribisha Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi. kuzungumza na Viongozi na Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Mjini Kichama,akiwa katika ziara yake.
VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi wakifuatilia hutuba ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na Viongozi na Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Mjini CCM Kichama,katika ukumbi wa CCM Mkoa Amaan Jijini Zanzibar.
WAZEE wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Mjini Kichama wakimsikiliza Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani)akizungumza na kuwashukuru Viongozi wa CCM na Mabalozi wa CCM wa Mkoa wa Mjini Kichama akiwa katika ziara yake kwa Wananchi wa Mkoa wa Mjini Kichama.
MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi,akikabidhiwa Risala ya Wanachama wa CCM wa Mkoa wa Mjini Kichana na Katibu wa CCM Nkoa wa Mjini Chima Ndg. Abdalla Mwinyi Hassan, akiwa katika ziara yake ya Kichama.
Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi ameufunguaMskiti wa Masjid Taqwa uliyopo Bambi Wilaya ya Kati Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa kipazia akiweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Masjid Taqwa Bambi Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe Rashid Hadidi Rashid na Sheikh Fesal msimamizi wa ujenzi wa Msikiti huo, ufunguzi huo umefanyika kabla ya Sala ya Ijumaa 28-5-2021.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Wananchi baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa na ufunguzi wa Masjid Taqwa Bambi Wilaya ya Kati Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali (hayupo pichani) na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais Mstaafu Alhaj Balozi Seif Ali Iddi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Sheria,Katiba na Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Haroun Ali Suleiman na (kulia kwa Rais) Msimamizi wa Ujenzi wa Msikiti huo. Sheikh. Fesal na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.Rashid Hadidi Rashid
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja wakati wa hafla ya ufunguzi wa Masjid Taqwa Bambi Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja, hafla hiyo imefanyika 28-5-2021.
WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza na kutowa nasaha zake kwa Wananchi wa Bambi wakati wa hafla ya ufunguzi wa Masjid Taqwa Bambi Wilaya ya Kati Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa na ufunguzi wa Masjid Taqwa Bambi Wilaya ya Kati Unguja, na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar.Mhe. Haroun Ali Suleiman na Makamu wa Pili wa Rais Mstaaf Alhaj Balozi Seif Ali Iddi.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuufungua rasmin Masjid Taqwa Bambi Wilaya ya Kati Unguja baada ya kukamilika ujenzi wake na (kushoto kwa Rais)Msimamizi wa ujenzi wa msikiti huo Sheikh Fesal na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja.Mhe Rashid Hadidi Rashid, ufunguzi huo umefanyika kabla ya Sala ya Ijumaa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuufungua rasmin Masjid Taqwa Bambi Wilaya ya Kati Unguja baada ya kukamilika ujenzi wake na (kushoto kwa Rais)Msimamizi wa ujenzi wa msikiti huo Sheikh Fesal na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja.Mhe Rashid Hadidi Rashid, ufunguzi huo umefanyika kabla ya Sala ya Ijumaa.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa kipazia akiweka Jiwe la Msingi la Ufunguzi wa Masjid Taqwa Bambi Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe Rashid Hadidi Rashid na Sheikh Fesal msimamizi wa ujenzi wa Msikiti huo, ufunguzi huo umefanyika kabla ya Sala ya Ijumaa 28-5-2021.