Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amezungumza na Waziri Wa Nchi Ofisi Ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Tanzania.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa (MB) (kulia kwa Rais) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo akiwa na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.Mhe. Deogratius Ndejembi.(MB) na Maofisa wa Wizara hiyo (hawapo pichani)mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora(MB)Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa (MB) (kulia kwa Rais) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo akiwa na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.Mhe.Deogratiu Ndejembi.(MB) na Maofisa wa Wizara hiyo (hawapo pichani) mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, ukiongozwa na Waziri wa wizara hiyo (MB) Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa (kulia kwa Rais) na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
MKURUGENZI Mkuu wa TASAF.Ndg.Ladislaus Mwamanga akitowa maelezo ya mafanikio ya Mradi wa Tasaf,kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi(hayupo pichani) wakati walipofika Ikulu Jijini Zanzibar Ujumbe wao ukiongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Mohamed Omary Mchengerwa, mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa (MB) (kulia kwa Rais) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo akiwa na Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.Mhe.Deogratiu Ndejembi.(MB) na Maofisa wa Wizara hiyo(hawapo pichani) mazungumzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
MKURUGENZI wa Mkuu wa Mkurubata Dkt.Seraphia Mgembe akizungumza wakati wa mkutano wao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo wakiongozwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Mohamed Omary Mchegerwa na Maofisa wengi wa Wizara hiyo uliofanyika katika ukumbi wa Ikulu.
Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi ameufungua msikiti wa Shifaa Muembetanga Jijini Zanzibar na kujumuika katika sala ya Ijumaa
IMAMU Mkuu wa Masjid Shifaa Muembetanga Jijini Zanzibar Sheikh.Abubabar Said (Mwalimu Abuu) akizungumza na kutoa neon la shukrani,wakati wa hafla ya ufunguzi wa msikiti huo, uliofunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupopichani)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kutowa nasaha zake kwa Waumini wa Dini ya Kiislam wa Masjid Shifaa Muembetanga Jijin Zanzibar baada ya kuufungua msikiti huo leo, kabla ya Sala ya Ijumaa.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kutowa nasaha zake kwa Waumini wa Dini ya Kiislam wa Masjid Shifaa Muembetanga Jijini Zanzibar baada ya kuufungua msikiti huo leo, kabla ya Sala ya Ijumaa.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Imamu Mkuu wa Masjid Shifaa Muembetanga Jijini Zanzibar Sheikh Abubakar Said (Mwalimu Abuu) baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa na (kushoto kwa Rais) Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khalid Ali Mfaume, Mfadhili wa Msikiti huo Dkt.Mohamed Saeed Mahfuodh na (kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi na Waziri wa Katiba,Sheria,Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman wakiitikia dua
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuashiria kuufungua Masjid Shifaa Muembetanga(zamani ukijulikana kwa jina la Msikiti Maiti)(kulia kwa Rais) Mfadhili wa ujenzi wa Msjid Shifaaa Dk. Mohamed Saeed Mahfoudh, Waziri wa Katiba,Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar. Mhe.Haroun Ali Suleiman na (kushoto kwa Rais) Imamu Mkuu wa Masjid Shifaa Sheik.Mwalim Abubakar Said (Mwalimu Abuu) Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Khalid Ali Mfaume na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Mustafa Kitwana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuashiria kuufungua Masjid Shifaa Muembetanga (zamani ukijulikana kwa jina la Msikiti Maiti) (kulia kwa Rais) Mfadhili wa ujenzi wa Msjid Shifaaa Dk. Mohamed Saeed Mahfoudh, Waziri wa Katiba,Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar. Mhe.Haroun Ali Suleiman na (kushoto kwa Rais) Imamu Mkuu wa Masjid Shifaa Sheik. Mwalim Abubakar Said (Mwalimu Abuu) Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Khalid Ali Mfaume na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe. Idrisa Mustafa Kitwana.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi AlhajDk.Hussein Ali Mwinyi akisoma Jiwe la Msingi la Masjid Shifaa baada ya kuondoa kipazia kuashirika kuufungua rasmin leo 7-5-2021, na (kulia kwa Rais) Mfadhili wa Ujenzi wa Msikiti huo Dk. Mohamed Saeed Mahfuodh na(kushoto kwa Rais)Waziri wa Katiba,Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar.Mhe.Haroun Ali Suleiman
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Dini na Serikali alipowasili katika viwanja vya Masjid Shifaa Muembetanga Jijini Zanzibar,kwa ajili ya ufunguzi wa Msikti huo (zamani ukijulikana kwa jina la Msikiti Maiti) ufunguzi huo umefanyika leo 7-5-2021 kabla ya Sala ya Ijumaa.
Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekabodhiwa Mpango wa Ujenzi wa Bandari ya Mwangapwani Zanzibar (Mster Plan)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikabidhi Mpango wa Ujenzi wa Bandari ya Mwangapwani Zanzibar (Master Plan) na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Uwekezaji ya Oman Bw. Mohamed Al Tooqi, hafla hiyo ya makabidhiano imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
KATIBU wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mhe.Dkt. Mwinyi Talib Haji,Waziri wa Ujenzi Mawasiliano na Uchukuzi Zanzibar.Mhe Rahma Kassim Ali na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Mustafa Kitwana,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano ya Mpango wa Ujenzi wa Bandari ya Mwangapwani Zanzibar.(Master Plan) hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Uwekezaji ya Oman Bw. Mohamed Al Tooqi akiwasilisha Mpango wa Ujenzi wa Bandari ya Mwangapwani Zanzibar (Master Plan) hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikabidhi Mpango wa Ujenzi wa Bandari ya Mwangapwani Zanzibar (Master Plan) na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Uwekezaji ya Oman Bw. Mohamed Al Tooqi, hafla hiyo ya makabidhiano imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza wakati wa kukabidhiwa Mpango wa Ujenzi wa Bandari ya Mwangapwani Zanzibar (Master Plan) uliotayarishwa na Mamlaka ya Uwekezaji ya Oman hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika katika Futari maalum aliyowaandalia wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuwaaga Wananchi baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalum aliyowaandalia katika ukumbi wa jengo la Michezani Mall Jijini Zanzibar.
WANANCHI wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi (hayupo pichani)baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa Wananchi wa Mkoa huo, iliofanyika katika ukumbi wa jengo la Michezani Mall Jijini Zanzibar
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi. (hayupo pichani)baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalum iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) katika ukumbi wa jengo la Michezani Mall, kwa Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja na (kushoto kwake) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na (kulia kwake) Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais.Mhe.Dkt. Saada Mkuya Salum na Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Mhe.Lela Mohammed Mussa.wakiitikia dua.
WANANCHI wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja wakiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi (hayupo pichani)baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa Wananchi wa Mkoa huo, iliofanyika katika ukumbi wa jengo la Michezani Mall Jijini Zanzibar.
BAADHI ya Viongozi wa Vyama vya Siasa na Wananchi wakiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi (hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa hafla ya futari maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) iliofanyika katika ukumbi wa jengo la Michezani Mall Jijini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba katika Futari aliyowaandalia katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi, Wete, Pemba.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Wananchi baada ya kumalizika kwa Sala ya Tarawekh, iliofanyika katika Masjid Ibadhi Wilaya ya Wete Pemba
WANANCHI wa Wilaya ya Wete Pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati akiwasalimia baada ya kumalizika kwa Sala ya Tarawekh iliofanyika katika Masjid Ibadhi Mtemani Wete Pemba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Wananchi baada ya kumalizika kwa Sala ya Tarawekh, iliofanyika katika Masjid Ibadhi Wilaya ya Wete Pemba.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba, baada ya kumalizika kwa Sala ya Tarawekh iliofanyika katika Masjid Ibadhi Mtemani Wete Pemba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (kulia kwa Rais) na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe. Mattar Zahro Mattar,wakati wa hafla ya futari maalum iliofanyika katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba.
BAADHI ya Wananchi wa Mkoa wa Kaskazini Pemba wakiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (hayupo pichani)baada ya kumalizika kwa hafla ya Futari Maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi,iliofanyika katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (hayupo pichani)baada ya kumalizika kwa hafla ya Futari Maalum ilioandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi(hayupo pichani)iliofanyika katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba na (kushoto kwake) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said na (kulia kwake) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe.Salama Mbarouk.