State House Blog

Kongamano la utatu wa Mahakama.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) alipokuwa akitoa hutuba yake ya Ufunguzi wa Kongamano la Mahkama za Kikanda na Kitaifa Barani Afrika,katika ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni Zanzibar, (kutoka kulia) Jaji wa Mahkama ya haki Afrika Mashariki Mhe,Jaji Nestor Kayobera,Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Katiba ,Sheri,Utumishi wa Umma na Utawala Bora mhe,Haroun Ali Suleiman na Jaji Mkuu Mteule Mhe.Jaji Khamis Ramadhan Abdalla.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) alipokuwa akitoa hutuba yake ya Ufunguzi wa Kongamano la Mahkama za Kikanda na Kitaifa Barani Afrika,katika ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni Zanzibar, (kutoka kulia) Jaji wa Mahkama ya haki Afrika Mashariki Mhe,Jaji Nestor Kayobera,Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,Katiba, Sheri,Utumishi wa Umma na Utawala Bora mhe,Haroun Ali Suleiman na Jaji Mkuu Mteule Mhe.Jaji Khamis Ramadhan Abdalla.
  • Jaji wa Mahkama ya haki Afrika Mashariki Mhe,Jaji Nestor Kayobera alipokuwa akisema machache na kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi Kufunguwa Kongamano la Mahkama za Kikanda na Kitaifa Barani Afrika, hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni Zanzibar.
  • Baadhi ya Washiriki katika Kongamano la Mahkama za Kikanda na Kitaifa Barani Afrika,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akitoa hutuba yake ya Ufunguzi aliyoitoa leo kwa washiriki hao katika ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni Zanzibar.
  • Jaji wa Mahkama ya haki Afrika Mashariki Mhe,Jaji Nestor Kayobera alipokuwa akisema machache na kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi Kufunguwa Kongamano la Mahkama za Kikanda na Kitaifa Barani Afrika, hafla iliyofanyika leo katika ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni Zanzibar.
  • Baadhi ya Washiriki katika Kongamano la Mahkama za Kikanda na Kitaifa Barani Afrika,wakisikiliza kwa makini hotuba ya Ufunguzi iliyotolewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika ukumbi wa Hotel ya Verde Mtoni Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akisalimiana na Jaji wa Mahkama ya haki wa za Binadamu Jaji Imani D. Daudi (katikati) wakati alipowasili katika Viwanja vya Hotel ya Verde Mtoni Zanzibar Kufungua Kongamano la Mahkama za Kikanda na Kitaifa Barani Afrika.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi na Jaji wa Mahkama ya haki wa za Binadamu Jaji Imani D. Daudi (katikati) wakifuatana na Viongozi wengine wakielekea katika Ukumbi wa Mikutano katika Hotel ya Verde Mtoni Zanzibar Kufungua Kongamano la Mahkama za Kikanda na Kitaifa Barani Afrika.

Utiaji wa saini yaa Makubaliano Ujenzi wa Miradi ya Maendeleo.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (katikati) akishuhudia utiaji saini Ujenzi miradi mitatu ya maendeleo baina ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Taasisi ya Misaada ya Sheikh Zayed Al Nahyan kutoka Nchi za Jumuiya ya Falme za Kiarabu (UAE)hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Zanzibar,wanaotia saini (kulia) Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Dkt.Juma Malik Akili na Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo Nd,Hamad Bin Kurdous Al-Amry (kushoto).
  • Baadhi ya Viongozi wakipongeza baada ya kushuhudia utiaji saini wa Ujenzi miradi mitatu ya maendeleo baina ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Taasisi ya Misaada ya Sheikh Zayed Al Nahyan kutoka Nchi za Jumuiya ya Falme za Kiarabu (UAE)hafla iliyofanyika leo Ukumbi wa Ikulu jijini Zanzibar, ambapo pia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) alishuhudia saini hiyo.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (katikati) akisimama na Baadhi ya ya Ujumbe wa Taasisi ya Misaada ya Sheikh Zayed Al Nahyan kutoka Nchi za Jumuiya ya Falme za Kiarabu (UAE) wakati Wimbo wa Taifa Ukipigwa wakati wa hafla ya utiaji saini Ujenzi miradi mitatu ya maendeleo baina ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Taasisi hiyo katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
  • Mawaziri na Baadhi wa Viongozi Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi ni miongoni mwa walioshuhudia utiaji saini wa Ujenzi miradi mitatu ya maendeleo baina ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Taasisi ya Misaada ya Sheikh Zayed Al Nahyan kutoka Nchi za Jumuiya ya Falme za Kiarabu (UAE),ambapo pia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) alishuhudia saini hiyo leo katika Ukumbi wa Ikulu jijini Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (katikati) akishuhudia utiaji saini Ujenzi miradi mitatu ya maendeleo baina ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Taasisi ya Misaada ya Sheikh Zayed Al Nahyan kutoka Nchi za Jumuiya ya Falme za Kiarabu (UAE) hafla iliyofanyika Ikulu Jijini Zanzibar,wanaotia saini (kulia) Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Dkt.Juma Malik Akili na Katibu Mkuu wa Jumuiya hiyo Nd,Hamad Bin Kurdous Al-Amry (kushoto).

Mazoezi ya Viungo kila Jumamosi ya Mwisho wa mwezi

  • Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akitoa hutuba yake baada ya kumalizika kwa Mazoezi ya kutembea yaliyoanzia katika Barabara ya Ofisi ya Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Mazizini hadi Uwanja wa Amaan leo ikiwa ni utekelezaji wake ya kushiriki mazoezi kila jumamosi ya mwisho wa mwezi kwa kushirikiana na wananchi (kushoto) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa na Mke wa Waziri Kiongozi Mstaafu Mama Asha Shamsi Nahodha.
  • Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akiagana na Mke wa Makamo wa Kwanza wa Rais Mama Zainab Othman baada ya kumalizika kwa mazoezi ya Viungo yaliyoshirikisha Vikundi mbali mbali vya mazoezi yaliyoanzia katika Barabara ya Ofisi ya Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Mazizini hadi Uwanja wa Amaan leo ikiwa ni utekelezaji wake kushiriki mazoezi kila jumamosi ya mwisho wa mwezi.
  • Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akitoa hutuba yake baada ya kumalizika kwa Mazoezi ya kutembea yaliyoanzia katika Barabara ya Ofisi ya Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Mazizini hadi Uwanja wa Amaan leo ikiwa ni utekelezaji wake ya kushiriki mazoezi kila jumamosi ya mwisho wa mwezi kwa kushirikiana na wananchi (kushoto) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa na Mke wa Waziri Kiongozi Mstaafu Mama Asha Shamsi Nahodha.
  • Vikundi mbali mbali vya mazoezi wakifanya mazoezi ya Kunyoosha Viungo baada ya Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi kuongoza Mazoezi hayo leo yaliyoanzia katika Barabara ya Ofisi ya Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Mazizini hadi Uwanja wa Amaan leo ikiwa ni utekelezaji wake ya kushirikiana na wananchi kila jumamosi ya mwisho wa mwezi.
  • Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (katikati) akishiriki katika mazoezi ya Viungo baada ya Mazoezi ya kutembea yaliyoanzia katika Barabara ya Ofisi ya Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Mazizini hadi Uwanja wa Amaan leo ikiwa ni utekelezaji wake ya kushiriki mazoezi kila jumamosi ya mwisho wa mwezi kwa kushirikiana na wananchi (kulia) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.Rashid Hadid Rashid.
  • Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (katikati) akishiriki katika mazoezi ya Viungo baada ya Mazoezi ya kutembea yaliyoanzia katika Barabara ya Ofisi ya Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Mazizini hadi Uwanja wa Amaan leo ikiwa ni utekelezaji wake ya kushiriki mazoezi kila jumamosi ya mwisho wa mwezi kwa kushirikiana na wananchi (kushoto) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Idrisa Kitwana Mustafa na Mke wa Waziri Kiongozi Mstaafu Mama Asha Shamsi Nahodha.
  • Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (katikati) akiongoza mazoezi ya kutembea ya liyoanzia katika Barabara ya Ofisi ya Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Mazizini hadi Uwanja wa Amaan leo ikiwa ni ahadi yake ya kushirikiana na Wananchi kila jumamosi ya mwisho wa mwezi.
  • Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (katikati) akiongoza mazoezi ya kutembea ya liyoanzia katika Barabara ya Ofisi ya Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Mazizini hadi Uwanja wa Amaan leo ikiwa ni ahadi yake ya kushirikiana na Wananchi kila jumamosi ya mwisho wa mwezi.

Ufunguzi wa Msikiti wa Ijumaa Chuini Zanzibar.

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (wa nne kulia) akijumuika na Viongozi na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika sala ya Ijuma mara baada ya Kufungua Masjid Muhammed Bin Ahmed Al Jofair uliopo Chuini Wilaya ya Magharibi A Unguja, uliojengwa kupitia Wafadhili na Waislamu mbali mbali, ambapo sala ilioongozwa na Sheikh Rashid Salim (mbele).
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kushoto) akitoa nasaha zake kwa waumini wa dini ya Kiislamu baada ya ufunguzi wa Masjid Muhammed Bin Ahmed Al Jofair, Chuini Wilaya ya Magharibi A Unguja, uliojengwa kupitia Wafadhili na michango ya Waislamu mbali mbali.
  • Waumini wa Dini ya Kiislamu wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) alipokuwa akitoa nasaha zake kwa waumini hao baada ya sala ya Ijumaa na ufunguzi wa Masjid Muhammed Bin Ahmed Al Jofair, Chuini Wilaya ya Magharibi A Unguja, uliojengwa kupitia Wafadhili na michango ya Waislamu mbali mbali.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wakati alipowasili leo katika Ufunguzi wa Masjid Muhammed Bin Ahmed Al Jofair uliopo Chuini Wilaya ya Magharibi A Unguja.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akifungua pazia kuashiria Ufunguzi wa Masjid Muhammed Bin Ahmed Al Jofair uliopo Chuini Wilaya ya Magharibi A Unguja, uliojengwa kupitia Wafadhili na Waislamu mbali mbali.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akikata utepe kama ishara ya ufunguzi wa Masjid Muhammed Bin Ahmed Al Jofair uliopo Chuini Wilaya ya Magharibi A Unguja, uliojengwa kupitia Wafadhili na Waislamu mbali mbali.

Mjadala kukuza uwekezaji wa Makampuni ya Ulaya Nchini

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Balozi wa Jumuiya ya Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania Bw.Manfredo Fanti (kushoto) wakati alipowasili katika Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar katika mjadala wa Kukuza uwekezaji wa Makampuni ya Ulaya nchini Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiteta na Balozi wa Jumuiya ya Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania Bw.Manfredo Fanti kabla ya mjadala wa Kukuza uwekezaji wa Makampuni ya Ulaya nchini Zanzibar uliofanyika leo katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar.
  • Wadau na waalikwa mbali mbali wakiwa katika mjadala wa Kukuza uwekezaji wa Makampuni ya Ulaya nchini Zanzibar uliofanyika leo ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar.
  • Wadau na waalikwa mbali mbali wakiwa katika mjadala wa Kukuza uwekezaji wa Makampuni ya Ulaya nchini Zanzibar uliofanyika leo ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (katikati) na Balozi wa Netherland Nchini Tanzania Mhe.Wiebe de Boer wakishuhudia Utiaji saini wa Ushirikiano baina ya Serikali ya Mapinduzi na Jumuiya ya Ulaya katika mjadala wa Kukuza uwekezaji wa Makampuni ya Ulaya Nchini Zanzibar uliofanyika leo ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar (kulia) Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Uwekezaji na Vitega Uchumi ZIPA Nd,Sharif Ali Sharif na (kushoto)Mkurugenzi Mtendaji anaeiwakilisha Jumuiya hiyo Cikay Richards.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (katikati) akifuatana na Balozi wa Jumuiya ya Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania Bw.Manfredo Fanti (wa pili kulia) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi,Uchumi na Uwekezaji Mhe.Mudrik Ramadhan Soraga na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Idrissa Mustafa Kitwana (kushoto) kabla ya kuingia katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar katika mjadala wa Kukuza uwekezaji wa Makampuni ya Ulaya nchini Zanzibar uliofanyika leo .
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (katikati) pamoja na wadau mbali mbali na Balozi wa Jumuiya ya Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania Bw.Manfredo Fanti ( kushoto) na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi,Uchumi na Uwekezaji Mhe.Mudrik Ramadhan Soraga (wa tatu kulia) wakisimama wakati Wimbo wa Taifa ukipigwa katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar katika hafla ya mjadala wa Kukuza uwekezaji wa Makampuni ya Ulaya nchini Zanzibar uliofanyika leo
  • Wadau na waalikwa mbali mbali wakiwa katika mjadala wa Kukuza uwekezaji wa Makampuni ya Ulaya nchini Zanzibar uliofanyika leo ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi (katikati) pamoja na Viongozi mbali mbali, Balozi wa Netherland Nchini Mhe.Wiebe de Boer (kushoto)Balozi wa Jumuiya ya Umoja wa Ulaya Nchini Tanzania Bw.Manfredo Fanti ( wa pili kushoto) Balozi wa Netherland Nchini Tanzania Mhe.Wiebe de Boer na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi,Uchumi na Uwekezaji Mhe.Mudrik Ramadhan Soraga (wa tatu kulia) wakifuatilia kwa makini mjadala wa Kukuza uwekezaji wa Makampuni ya Ulaya nchini Zanzibar uliofanyika leo ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitoa hutuba yake katika mjadala wa Kukuza uwekezaji wa Makampuni ya Ulaya nchini Zanzibar uliofanyika leo katika Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Zanzibar ambapo wadau mbali mbali wamehudhuria katika mjadala huo