Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wananchi katika sala ya Ijumaa Masjid Barwan Mlandege Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi (kulia kwa Rais) baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Masjid Barwan Mlandege Unguja Jijini Zanzibar leo 20-5-2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Husssein Ali Mwinyi akiwa katika viwanja vya Masjid Barwan Mlandege Unguja Jijini Zanzibar akiondoka baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika msikiti huo leo 20-5-2022 na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Mustafa Kitwana.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Masjid Barwan Mlandege Unguja Jijini Zanzibar leo 20-5-2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Masjid Barwan Mlandege Unguja Jijini Zanzibar leo 20-5-2022.
Rais wa Zanzibar Alhaj Dk,Hussein Ali Mwinyi amehudhuria hauli ya Marehemu Alhabab Ahmad Bin Abubakar Bin Sumeyt msikiti mkuu wa Ijumaa Malindi Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Dini alipowasili katika viwanja vya Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Unguja Jijini Zanzibar kuhudhuria Hauli ya Alhabib Sheikh Ahmad bin Abubakar Bin Sumeyt,miaka 100 tangu kufariki kwake.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Du,Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Alhabib Ali bin Muhammad Hapshi baada ya kumalizika kwa hauli ya kumombea Marehemu Alhabib Ahmad bin Abubakar bin Sumeyt na (kushoto kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi, dua hiyo iliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindu Unguja Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Hauli ya miaka 100 ya Marehemu Alhabib Ahmad bin Abubakar bin Sumeyt, iliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Unguja Jijini Zanzibar leo 15-5-2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Hauli ya miaka 100 ya Marehemu Alhabib Ahmad bin Abubakar bin Sumeyt, iliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Unguja Jijini Zanzibar leo 15-5-2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Alhabib Muhammed bin Omar, wakielekea katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Unguja baada ya kumaliza kumsomea dua marehemu Alhabib Ahmad bin Abubakar bin Sumeyt.kwa ajili ya kisomo cha Hauli ya marehemu kutimia miaka 100 tangu kufa kwake.
WANAZUONI mbalimbali na Wananchi wa Zanzibar wakijumuika katika Hauli ya kumuombea Marehemu Alhabib Ahmad bin Abubakar bin Sumeyt iliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Unguja Jijini Zanzibar leo 15-5-2022.
WANAZUONI mbalimbali na Wananchi wa Zanzibar wakijumuika katika Hauli ya kumuombea Marehemu Alhabib Ahmad bin Abubakar bin Sumeyt iliyofanyika katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa Malindi Unguja Jijini Zanzibar leo 15-5-2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Maulamaa(Wanazuoni) katika eneo la kaburi la Marehemu Alhabib Ahmad bin Abubabar bin Sumeyt wakimuombea dua ikiwa ni hauli ya kutimiza miaka 100 tangu kufariki kwake,(kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi, Alhabab Aliu Bin Mohammed Hapsi na Sayyid Ahmad Mwinyi Baba,
Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amemtembelea Sheikh Ali Rijali Mavua Nyumbani kwake Mombasa kwa Mchina.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Sheikh Ali Rijali Mavua, alipofika nyumbani kwake Mombasa kwa Mchina Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo kumjulia hali yake.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Sheikh Ali Rijali Mavua, alipofika nyumbani kwake Mombasa kwa Mchina Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo alipofika kumjulia hali yake na (kulia kwa Rais) Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Hassan Othman Ngwali na Katibu Mtendaji wa Ofisi ya Mufti Zanzibar Sheikh.Khalid Ali Mfaume.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimjulia hali Sheikh Ali Rijali Mavua alipofika nyumbani kwake Mombasa kwa Mchina Wilaya ya Magharibi “Unguja kumtembelea leo 13-5-2022.
Rais wa Zanzibar Mhe.,Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaapisha Viongozi wa Dini Kadhi Mkuu wa Zanzibar na Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Ikulu.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Sheikh Hassan Othman Ngwali kuwa Kadhi Mkuu wa Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika Ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 12-5-2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisaini hati ya kiapo ya Sheikh Hassan Othman Ngwali, baada ya kumuapisha kuwa Kadhi Mkuu wa Zanzibar hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
SHEIKH Hassan Othman Ngwali akiapishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) kuwa Kadhi Mkuu wa Zanzibar, hafla hiyo ya kuapishwa iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
MKUU wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe.Idrisa Mustafa Kitwana na (kushoto kwake) Mstahiki Meya wa Jiji la Zanzibar.Mhe Mahmoud Mohammed Mussa,Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama Zanzibar na Viongozi wa Dini walioteuliwa hivi karibu kushika nafasi ya Kadhi Mkuu wa Zanzibar na Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar, Sheikh Hassan Othman Ngwali na Sheikh.Othman Ame Chum, wakiwa katika ukumbi wa Ikulu wakati ukipigwa Wimbo wa Taifa wa Zanzibar na Tanzania na wa Afrika Mashariki kabla ya kuaza kwa hafla ya kuapishwa kwa viongozi hao na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
SHEIKH Hassan Othman Ngwali akisoma hati ya kiapo kabla ya kuapishwa kushika nafasi ya Kadhi Mkuu wa Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani) na (kushoto kwake) Sheikh. Othman Ame Chum aliyeteuliwa kuwa Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 12-5-2022.Jijini Zanzibar
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla akizungunza na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said, wakiwa katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar kabla ya kuaza kwa hafla ya kuapishwa kwa Kadhi Mkuu wa Zanzibar na Naibu Kadhi Mkuu iliyofanyika leo 12-5-2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar wakati wa kupigwa kwa wimbo wa Taifa wa Zanzibar, Tanzania na Wimbo wa Afrika Mashariki kabla ya kuaza kwa hafla ya kuapishwa kwa Kadhi Mkuu wa Zanzibar na Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 12-5-2022.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amehutubia siku ya Wafanyakazi Zanzibar katika Viwanja vya Maisara Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Serikali na wa ZATUC alipowasili katika viwanja vya Maisara Suleiman kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani iliyofanyika leo 8-5-2022.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipokea Maandamano ya Wafanyakazi ya kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani Zanzibar yameadhimishwa leo 8-5-2022, katika viwanja vya Maisara Suleiman Unguja Jijini Zanzibar.
MAANDAMANO ya Wafanyakazi kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliofanyika leo katika viwanja vya Maisara Suleiman na kupokelewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani).
MAANDAMANO ya Wafanyakazi kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliofanyika leo katika viwanja vya Maisara Suleiman na kupokelewa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani).
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipokea maandamano ya Wafanyakazi Zanzibar ya kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Unguja Jijini Zanzibar leo 8-5-2022.
WAFANYAKAZI wa Taasisi za Serikali na Masharika ya Umma wakimsikiliza Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yalioadhimisha leo Zanzibar katika viwanja vya Maisara Suleiman Unguja Jijini Zanzibar.
WAFANYAKAZI wa Bodaboda wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha siku ya Wafanyakazi Duniani viwanja vya Maisara Suleiman wakipita katika jukwaa la mgeni rasmin Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani).
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi Mfanyakazi Bora wa Benki ya Watu wa Zanzibar Bw.Kombo Hamad Kombo.
KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Wafanyakazi Zanzibar Bw.Khamis Mwinyi Mohammed akiwasilisa Salamu za Wafanyakazi wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani yaliofanyika viwanja vya Maisara Suleiman Unguja Jijini Zanzibar leo 8-5-2022.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Ofisi ya Zanzibar, Balozi Silima Kombo Haji (kushoto) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar Kujitambulisha (kulia) Wasaidizi wa Rais