RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimuapisha Mkuu wa Kikosi cha Valantia Zanzibar Major Said Ali Juma Shamuhuna, hafla hiyo imefanylia leo katika Ukumbi wa Ikulu Zanzibar.

RAIS WA ZANZIBAR AMEMUAPISHA MKUU WA KVZ ZANZIBAR MAJOR SAID ALI JUMA SHAMUHUNA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amemuapisha Major Said Ali Juma Shamuhuna kuwa Mkuu wa Kikosi cha Valantia Zanzibar (KVZ).

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akimuapisha Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango Ndg. Mwita Mgeni Mwita, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.

DK.SHEIN AMEWAAPISHA VIONGOZI ALIOWATEUA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein leo amewaapisha viongozi aliowateua hivi karibuni kushika nyadhifa mbali mbali katika Taasisi za Serikali ya Mapinduzi…

Read More

UTEUZI

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa viongozi katika taasisi mbalimbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kama ifutavyo:-

Read More

Dk.Shein ameupongeza uongozi wa Makampuni ya Okan yenye Makao Makuu yake nchini Uturuki.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameipongeza azma ya uongozi wa Makampuni ya Okan yenye makao makuu yake nchini Uturuki inayokusudia kujenga hospitali…

Read More

Dk.Shein amewataka waumini wa Dini ya Kiislamu nchini kuendeleza upendo na mshikamano katika Dini

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Ali Mohammed Shein amewataka waumini wa Dini ya Kiislamu nchini kuendeleza upendo na mshikamano, ili kuimarisha dini hiyo pamoja na kupata…

Read More

DK.SHEIN AMEPONGEZWA KWA UPATIKANAJI WA MAJI RAMADHANI.

WANANCHI wanaoishi katika maeneo yenye shida ya maji Zanzibar wamempongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein kwa kutekelezwa vyema agizo alilolitoa kwa…

Read More