MKE WA RAIS WA ZANZIBAR MAMA MWANAMWEMA SHEIN AMEJUMUIKA NA WATOTO WA KIJIJI CHA SOS KATIKA FUTARI.
WAZANZIBARI wametakiwa kuthamini na kuunga mkono juhudi za Serikali katika kusimamia na kudumisha amani na utulivu uliopo nchini, hatua inayotowa fursa kwa waumini kuweza kuabudu bila taabu.
Read More