News and Events

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imejikita kuleta mageuzi makubwa kwenye sekta zote za maendeleo pamoja na kuwajengea uwezo watu wake ili kuongeza kasi ya uchumi nchini.

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema imejikita kuleta mageuzi makubwa kwenye sekta zote za maendeleo pamoja na kuwajengea uwezo watu wake ili kuongeza kasi ya uchumi nchini.Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa… Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wahitimu wa vyuo vikuu kutumia elimu zao, kuchangia Maendeleo ya nchi kwa nafasi mbalimbali za taaluma zao.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wahitimu wa vyuo vikuu kutumia elimu zao, kuchangia Maendeleo ya nchi kwa nafasi mbalimbali za taaluma zao.Dk. Mwinyi aliyasema… Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Benki ya Dunia kwa jitidaha zake za kuendelea kuziunga mkono Tanzania kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Benki ya Dunia kwa jitidaha zake za kuendelea kuziunga mkono Tanzania kupitia miradi mbalimbali ya maendeleo.Rais Dk. Mwinyi… Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amepongeza hatua na mwendelezo wa ujenzi wa viwanja vya michezo, Amani

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amepongeza hatua na mwendelezo wa ujenzi wa viwanja vya michezo, Amani.Dk. Mwinyi, alitoa pongezi hizo alipofanya ziara za kukagua viwanja… Read More

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeahidi kuwalipa fidia ya vipando na majengo wananchi wote wa eneo la Bumbwini waliopitiwa na mradi wa barabara na ujenzi wa bandari jumuishi ya Mangapwani

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeahidi kuwalipa fidia ya vipando na majengo wananchi wote wa eneo la Bumbwini waliopitiwa na mradi wa barabara na ujenzi wa bandari jumuishi ya Mangapwani.Rais wa Zanzibar na… Read More