News and Events

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeeleza dhamira yake ya kuleta mageuzi makubwa kwenye sekta ya elimu kupitia Wizara yake ya Elimu na Mafunzo ya Amali.

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imeeleza dhamira yake ya kuleta mageuzi makubwa kwenye sekta ya elimu kupitia Wizara yake ya Elimu na Mafunzo ya Amali. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.… Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameishukuru Serikali ya China kwa ushirikiano wanaoendelea kuutoa Tanzania ikiwemo Zanzibar kwenye masuala mbalimbali ya maendeleo

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameishukuru Serikali ya China kwa ushirikiano wanaoendelea kuutoa Tanzania ikiwemo Zanzibar kwenye masuala mbalimbali ya maendeleo.Dk.… Read More

Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, amechangia shilingi milioni 10 kwaajili ya ujenzi wa maduka matano, yanayokusudiwa kutoa gharama za uendeshaji wa msikiti mkuu wa Paje, Mkoa wa Kusini, Unguja

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, amechangia shilingi milioni 10 kwaajili ya ujenzi wa maduka matano, yanayokusudiwa kutoa gharama za uendeshaji wa msikiti mkuu… Read More

Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, amechangia shilingi milioni 10 kwaajili ya ujenzi wa maduka matano, yanayokusudiwa kutoa gharama za uendeshaji wa msikiti mkuu wa Paje, Mkoa wa Kusini

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi, amechangia shilingi milioni 10 kwaajili ya ujenzi wa maduka matano, yanayokusudiwa kutoa gharama za uendeshaji wa msikiti mkuu… Read More

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amepokea ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Ikulu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amepokea ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Ikulu, Zanzibar.Akipokea ripoti hiyo Rais Dk. Mwinyi amemuomba… Read More