Toggle navigation
Leave this field blank
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
Home
President's Office
Overview
Vision & Mission
President
Past Presidents
Administration
Revolutionary Council
Office of the President
Media
News and Events
Speeches and Statements
Press Releases
Photos
Videos
Videos 2
Publications
Speeches
Action Plans
Publications
Reports
Budgets
Blog
Contact Us
Ikulu
State House Zanzibar
State House Zanzibar
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amemuapisha Ndg. Amina Chande Muumini kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA), kufuatia uteuzi wake uliofanywa hivi karibuni.Hafla ya uapisho huo imefanyika leo, tarehe 22 Januari 2026, Ikulu Zanzibar, sambamba na kikao cha Baraza la Mapinduzi.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akimkabidhi hati ya Kiapo Ndg. Amina Chande Muumini kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi Zanzibar (ZAECA), baada ya kumuapisha kufuatia uteuzi wake uliofanywa hivi karibuni.Hafla ya uapisho huo imefanyika leo, tarehe 22 Januari 2026, Ikulu Zanzibar, sambamba na kikao cha Baraza la Mapinduzi.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiondoa Pazia kuashiria uzinduzi wa boti mpya ya Kilimanjaro 9 (Dragon of the Sea) inayomilikiwa na Kampuni ya Azam Marine Ltd, katika hafla iliyofanyika Mtoni Verde, Mkoa wa Mjini Magharibi.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi akimkabithi zawadi ya mlango wa zanzibar (Zanzibar door) Waziri wa Hijja na Umrah wa Saudi Arabia, Mhe. Tawfiq bin Fawzan Al-Rabiah, aliyefika Ikulu zanzibar kuonana naye akiwa ameambatana na Balozi wa Saudi Arabia nchini Tanzania, Mhe. Yahya bin Ahmed Okeish.
Media
News and Events
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Commodore Azana Hassan Msingiri wakati wa ghafla ya kutunuku Nishani ya Mapinduzi pamoja na Nishani ya Utumishi Uliotukuka katika viwanja vya ikulu zanzibar.
President
H.E. Dr. Hussein Ali Mwinyi
President of Zanzibar and Chairman of Revolutionary Council
Talk to the President
News and Events
Rais Dkt. Mwinyi amemuapisha Amina Muumini kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Zaeca.
22 Jan 2026
by Ikulu Staff
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akimkabidhi hati ya Kiapo Ndg. Amina Chande Muumini kuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhuju
22 Jan 2026
by Ikulu Staff
Rais Dkt.Mwinyi amesema SMZ itaendelea kuimarisha mazingira bora ya uwekezaji Zanzibar.
21 Jan 2026
by Ikulu Staff
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiondoa Pazia kuashiria uzinduzi wa boti mpya ya Kilimanjaro 9 (Dragon of the Sea) inayomilikiwa na Kampuni ya Azam Marine
20 Jan 2026
by Ikulu Staff
More News and Events
Videos
Facebook
Publications
Hutuba ya Rais wa Zanzibar MBLM Dk. Hussein Ali Mwinyi ya Maadhimisho ya Miaka 62 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar 11 Januari, 2026.
11 Jan 2026
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi amewaachia huru Wanafunzi 17 wa chuo cha Mafunzo Zanzibar.
11 Jan 2026
Risala ya Rais wa Zanzibar na MBLM Mhe: Dk.Hussein Ali Mwinyi kuuaga mwaka wa 2025 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2026
31 Dec 2025
Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Manaibu Makatibu Wakuu
15 Dec 2025
English
Swahili