News and Events

Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wanachama wa CCM kuchagua viongozi makini watakaoweza kukivusha Chama hicho katika Uchaguzi mkuu ujao wa 2025.

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wanachama wa CCM kuchagua viongozi makini…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amewaapisha viongozi na watendaji mbali mbali wa Serikali kushika nyadhifa zao kufuatia uteuzi aliofanya hivi karibuni.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewaapisha viongozi na watendaji mbali mbali wa Serikali kushika nyadhifa zao kufuatia uteuzi aliofanya hivi karibuni.Katika…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itafanya kila juhudi kuhakikisha inasaidia upatikanaji wa usafiri pamoja na vifaa vya mawasiliano kwa ajili ya Jeshi la Polisi Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itafanya kila juhudi kuhakikisha inasaidia upatikanaji wa usafiri pamoja na vifaa vya mawasiliano…

Read More