Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi akizungumza leo tarehe 15 Juni 2026, wakati wa Maadhimisho ya Mwaka Mpya wa Kiislamu yaliyofanyika Msikiti wa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi akizungumza leo tarehe 15 Juni 2026, wakati wa Maadhimisho ya Mwaka Mpya wa Kiislamu yaliyofanyika Msikiti wa Jamiu Zinjibar, Kiembe Samaki, Mkoa wa Mjini Magharibi.