Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja alipokutana na Balozi mpya wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Balozi Meja Jenerali Marco Elis
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja alipokutana na Balozi mpya wa Tanzania nchini Uganda, Mhe. Balozi Meja Jenerali Marco Elisha Gaguti, aliyefika Ikulu Zanzibar kwa ajili ya kuaga kabla ya kuelekea katika kituo chake cha kazi.