Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akipokea zawadi kutoka kwa miongoni mwa Mabalozi, wa nchi za Kiarabu wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania waliofika
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi akipokea zawadi kutoka kwa miongoni mwa Mabalozi, wa nchi za Kiarabu wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania waliofika Ikulu Zanzibar kumpongeza kwa mafanikio ya maendeleo yanayopatikana Zanzibar chini ya uongozi wake.