Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Évariste Ndayishimiye, aliyeambatana na Mkewe, Mhe. Angeline Ndayi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Burundi, Mhe. Évariste Ndayishimiye, aliyeambatana na Mkewe, Mhe. Angeline Ndayishimiye, pamoja na ujumbe wake, leo tarehe 09 Septemba 2026, Ikulu Zanzibar.