Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiondoa pazia kuashiria uzinduzi rasmi wa huduma za usafiri wa umma kwa kutumia mabasi ya umeme pamoja na Kituo c
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiondoa pazia kuashiria uzinduzi rasmi wa huduma za usafiri wa umma kwa kutumia mabasi ya umeme pamoja na Kituo cha Mabasi Malindi leo, tarehe 23 Julai 2026.