Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameshiriki Sala ya Jeneza la marehemu Sheikh Said Othman Al Kadiry, aliyefariki dunia tarehe 7 Julai 2026 aliyesw
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameshiriki Sala ya Jeneza la marehemu Sheikh Said Othman Al Kadiry, aliyefariki dunia tarehe 7 Julai 2026 aliyeswaliwa katika Msikiti wa Ijumaa wa Tunduni kwa Masharifu, Mkoa wa Kaskazini Unguja leo tarehe 09 Julai, 2026.