Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Madrasa Fatma mara baada ya kujumuika na waumini wa Dini ya Kiislamu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Madrasa Fatma mara baada ya kujumuika na waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya Ijumaa iliyosaliwa katika Msikiti Al Aqswaa na kufungua Madrasa ya Fatma, iliyopo Kiboje Mkwajuni Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja