Media

Dk.Shein ameahidi kuendelea kushirikiana na Wapatholojia wote nchini.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameahidi kuendelea kushirikiana na Wapatholojia wote nchini na kusisitiza haja ya kuwatunza na kuwalea kutokana na…

Read More

Uzinduzi wa Vitambulisho vipya vya Kieletroniki (SMART CARDS) vya Mzanzibar mkaazi.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema matumizi ya Vitambulisho vipya vya Mzanzibari mkaazi (smart card) yataiwezesha serikali kuweka na kuhifadhi…

Read More

DK.SHEIN AMEKUATANA NA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA CHINA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Zanzibar itaendelea kuthamini uhusiano na ushirikiano uliopo kati yake na Jamhuri ya Watu wa China sambamba…

Read More

DK.SHEIN AMEFUNGUA MKUTANO WA JUMUIYA YA MAJAJI NA MAHAKIMU WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein amesema kwamba matumizi mazuri ya ardhi na usimamizi bora wa mazingira ni misingi muhimu katika maendeleo ya Taifa lolote…

Read More
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein na Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi, wakitembelea maonesho ya Wajasiriamali Wanawake wakati wa hafla ya ufunguzi wa Kongamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Dk. Ali Mohame

MAMA MWANAMWEMA SHEIN AMEFUNGUA KONGAMANO LA WAJASIRIAMALI WANAWAKE ZANZIBAR.

MKE wa Rais wa Zanzibar, mama Mwanamwema Shein amesema shughuli za ujasiriamali zinahitaji taaluma ili ziweze kufanyika kwa ufanisi na kuleta tija pamoja na kuondokana na changamoto.

Read More

Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kununua boti mpya ili kuwasaidia wananchi wakiwemo Wazee.

MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza azma ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kununua boti mpya ili kuwasaidia wananchi wakiwemo wazee wanaoishi katika visiwa vidogo…

Read More

Ufungaji wa Mafunzo ya Upishi na Ukarimu awamu ya tatu.

UTOAJI wa mafunzo ya watumishi katika maeneo ya kazi ni miongoni mwa vipaumbele vya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Awamu ya Saba chini ya uongozi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza…

Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Bw.Abdalla Rashid Abdulla  kuwa Mshauri wa Rais Mambo ya Siasa katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar.

DK. SHEIN AMEWAAPISHA WASHAURI WA RAIS.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein leo amewapisha Washauri wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi aliowateua hivi karibuni.

Read More