Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi aliwataka waumini wa dini ya kiislam kuitumia misikiti kuwa jukwaa la kuchota elimu zenye manufaa kwa jamii pamoja na kutatua changamoto zinazowakabili

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Al hajj Dk. Hussein Ali Mwinyi aliwataka waumini wa dini ya kiislam kuitumia misikiti kuwa jukwaa la kuchota elimu zenye manufaa kwa jamii…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Zanzibar imedhamiria kuleta Mapinduzi makubwa ya sekta ya Elimu kwa kuboresha miundombinu ya majengo ya kisasa na huduma zenye ubora.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Zanzibar imedhamiria kuleta Mapinduzi makubwa ya sekta ya Elimu kwa kuboresha miundombinu ya…

Read More

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amewaahidi vijana kushirikiana nao katika kufanyana kazi za ujenzi wa maendeleo ya nchi

MAKAMO Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amewaahidi vijana kushirikiana nao katika kufanyana kazi za ujenzi…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema azma yake ya kuifungua Pemba kiuchumi na kuifanya kuwa kituo mahsusi cha uwekezaji sasa inakaribia na kueleza kuwa hatua za utekelezaji wake zimeanza rasmi.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema azma yake ya kuifungua Pemba kiuchumi na kuifanya kuwa kituo mahsusi cha uwekezaji sasa inakaribia na kueleza…

Read More