Rais wa Zanzibar Alhaj Dk,Hussein Ali Mwinyi amehudhuria hauli ya Marehemu Alhabab Ahmad Bin Abubakar Bin Sumeyt msikiti mkuu wa Ijumaa Malindi Unguja
Rais wa Zanzibar Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amemtembelea Sheikh Ali Rijali Mavua Nyumbani kwake Mombasa kwa Mchina.
Rais wa Zanzibar Mhe.,Dk.Hussein Ali Mwinyi amewaapisha Viongozi wa Dini Kadhi Mkuu wa Zanzibar na Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Ikulu.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amehutubia siku ya Wafanyakazi Zanzibar katika Viwanja vya Maisara Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na Kaimu Mkurugenzi Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Ofisi ya Zanzibar, Balozi Silima Kombo Haji (kushoto) alipofika Ikulu Jijini Zanzibar Kujitambulisha (kulia) Wasaidizi wa Rais