State House Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ametembelea na kukagua Ujenzi wa Hospitali ya Mkoa ya Lumumba mjini Zanzibar.

RAIS WA ZANZIBAR ALHAJ DK.HUSSEIN MWINYI AFUNGUA MSIKITI WA MASJID HUSSEIN GHANA NA KUJUMUIKA NA WANANCHI KATIKA SALA YA IJUMAA

Mwenyekiti wa Taasisi ya Zanzibar Maisha Bora Foundation Mke wa Rais Wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi amezungumza na waheshimiwa Mabalozi Wanawake wa Tanzania.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzi na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe.Innocent Lugha Bashungwa (Mb) alipofika Ikulu

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amehutubia maadhimisho ya Miaka Miwili ya Uongozi wake katika ukumbi wa zamani wa Baraza la Wawakilishi Wete Pemba.