Ikulu Blog

Rais wa Zanzibar amehudhuria hafla ya kuapishwa Rais wa Tanzania Ikulu Dar Es Salaam

Rais wa Zanzibar Alhaj Dk Hussein Ali Mwinyi amejumuika katika sala ya Ijumaa na Wananchi wa Nungwi Masjid Rahma Mkoa wa Kaskazini Unguja

Rais wa Zanzibar Dk Hussein Ali Mwinyi akishuhudia utiani wa Saini ya Maelewano (Mou) ya Ujenzi wa Bandari Mangapwani na Mji wa Kisasa Bumbwini Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akifuatana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa (wa pili kulia)

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi amezungumza na wadau wa Elimu Zanzibar