Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi ameshiriki mazishi ya Marehemu Sheikh Ali R. Mavua yaliyofannyika Kijijini Bambi Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja
20 Dec 2022
107
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Bi. Rahma Mabrouk Masoud wa Kikundi cha “Tushirikiane Cooperative"Gombani Chakechake wakati alipoungana na Rais wa ZNZ