Ikulu Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amekutana na Uongozi Baraza la Habari Tanzania (MCT) Ikulu.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amehutubia Mahafali ya 20 ya Chuo Cha Zanzibar Univesity (ZU) Kibele Wilaya ya Kati Unguja.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amepongezwa na wauguzi katika Sherehe za miaka miwili ya uongozi wake kutimiza miaka miwili

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi ameshiriki mazishi ya Marehemu Sheikh Ali R. Mavua yaliyofannyika Kijijini Bambi Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Bi. Rahma Mabrouk Masoud wa Kikundi cha “Tushirikiane Cooperative"Gombani Chakechake wakati alipoungana na Rais wa ZNZ