Dk.Shein amefungua Jengo la Tawi la CCM Uzi Wilaya ya Kati Unguja.
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akitanguliwa na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud alipowasili katika viwanja vya jingo jipya la Tawi la CCM Uzi Wilaya ya Kati Unguja alipofika kulifungua pamoja na kuweka jiwe la msingi
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akiweka jiwe la msingi la Jengo la Tawi la CCM Uzi kushoto Katibu wa Tawi la CCM Uzi Ndg. Simai Jabu Vuai, hafla hiyo imefanyika katika kisiwa cha Uzi Wilaya ya Kati Unguja
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar.Dr. Abdalla Juma Mabodi, wakiwa katika ukumbi wa jingo jipya la Tawi la CCM Uzi, baada ya kulifungua
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akisisitiza jambo akiwa na Naibu Katiba Mkuu CCm Zanzibar wakati akizungumza na Wanachama wa CCM Uzi katika hafla ya ufunguzi wa jingo jipya la Tawi la CCM Uzi
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akiweka jiwe la msingi la Jengo la Tawi la CCM Uzi kushoto Katibu wa Tawi la CCM Uzi Ndg. Simai Jabu Vuai, hafla hiyo imefanyika katika kisiwa cha Uzi Wilaya ya Kati Unguja
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akitembelea jingo jipya la Tawi la CCM Uzinda baada ya kulifungua leo 21-11-2019, (kushoto kwa Rais ) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar.Dr.Abdalla Juma Mabodi na kulia Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein, Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr Abdalla Juma Mabodi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Bi. Leila Burhani Ngoz, wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Tawi la CCM Uzi wakati Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar.
Dk.Shein azungumza na Wazee wa CCM wa Wilaya ya Kusini Unguja
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mwakilishi wa Jimbo la Makunduchi na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman,alipowasili katika viwanja vya Ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Kizimkazi wakati wa hafla ya ziara yake kuzungumza na Wazee wa CCM wa Wilaya ya Kusini Unguja.
WAZEE wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kusini Unguja wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) wakati akizungumza na Wazee hao katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja
KATIBU wa CCM Wilaya ya Kusini Unguja Ndg.Hafidh Hassan Mkadam akisoma risala ya Wazee wa CCM Wilaya ya Kusini Unguja wakati wa hafla hiyo iliofanyika katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja
BAADHI ya Viongozi wa Jumuiya za CCM na Viongozi wa CCM Afisi Kuu Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari Kizimkazi
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.MheDk.Ali Mohamed Shein, akikabidhiwa Risala ya Wazee wa CCM wa Wilaya ya Kusini Unguja na Katibu wa CCM wa Wilaya hiyo.Ndg.Hafidh Hassan Mkadam, wakati wa ziara yake kuzungumza na Wazee wa CCM Zanzibar mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguj
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, akikabidhiwa zawadi ya kofia iliyotolewa na Wazee wa CCM wa Wilaya ya Kusini Unguja wakati wa ziara yake kuzungumza na Wazee wa CCM Zanzibar mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja
WAZEE wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Kusini Unguja wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) wakati akizungumza na Wazee hao katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar.Dr. Abdalla Juma Mabodi akisisitiza jambo wakati wa mkutano na Wazee wa CCM wa Wilaya ya Kusini Unguja wakati wa ziara ya Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, uliofanyika katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari ya Kizimkazi
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Wazee wa CCM wa Wilaya ya Kusini Unguja wakati wa ziara yake, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Skuli ya Sekondari Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja
Dk.Shein afungua maonesho ya miaka 20 ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti a Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na Waziri wa Kazi,Uwezeshaji,Wazee,Wanawake na Watoto Mhe.Maudline Cyrus Castico mara alipowasili katika viwanja vya Fumba Mji mpya katika ufunguzi wa Maadhimisho ya Maonesho ya kutimia miaka 20 ya kuanzishwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyofanyika
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti a Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifuatana na Waziri wa Kazi, Uwezeshaji,Wazee,Wanawake na Watoto Mhe.Maudline Cyrus Castico mara alipowasili katika viwanja vya Fumba Mji mpya katika ufunguzi wa Maadhimisho ya Maonesho ya kutimia miaka 20 ya kuanzishwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyofanyika (wa pili kulia) Naibu Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko Mhe.Hassan Khamis Hafidh
Baadhi ya wananchi waliohudhuria katika maonesho ya kutimia miaka 20 ya kuanzishwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyofanyika wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti a Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa hutuba yake katika viwanja vya Fumba Mji mpya mkoa wa Mjini Magharibi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti a Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) na Waziri wa Kazi,Uwezeshaji, Wazee,Wanawake na Watoto Mhe.Maudline Cyrus Castico wakiangalia Gazeti la Zanzibarleo alipotembelea madanda ya maonesho ya wajasiriamali baada ya kuyafungua rasmi Maadhimisho ya Maonesho ya kutimia miaka 20 ya kuanzishwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyofanyika katika viwanja vya Fumba Mji mpya Mkoa wa Mjini Magharibi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti a Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiangalia bidhaa mbali mbali wakati alipotembelea mabanda ya maonesho ya wajasiriamali wadogowadogo baada ya ufunguzi rasmi wa Maadhimisho ya Maonesho ya kutimia miaka 20 ya kuanzishwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyofanyika leo katika viwanja vya Fumba Mji mpya Mkoa wa Mjini Magharibi (katikati)Naibu Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko Mhe.Hassan Khamis Hafidh
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti a Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akifuatana na Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Wajasiriamali Tanzania Nd,Josphat Rweyemamu wakati alipotembelea mabanda ya maonesho ya Wajasiriamali baada ya ufunguzi rasmi wa Maadhimisho ya Maonesho ya kutimia miaka 20 ya kuanzishwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyofanyika katika viwanja vya Fumba Mji mpya Mkoa wa Mjini Magharibi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti a Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) na Waziri wa Kazi,Uwezeshaji, Wazee,Wanawake na Watoto Mhe.Maudline Cyrus Castico wakifuatana na viongozi wengine wakati alipotembelea madanda ya maonesho ya wajasiriamali baada ya kuyafungua rasmi Maadhimisho ya Maonesho ya kutimia miaka 20 ya kuanzishwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyofanyika katika viwanja vya Fumba Mji mpya Mkoa wa Mjini Magharibi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti a Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa na Viongozi mbali mbali wakati maelezo kutoka kwa Saumu Al-Nofly Mmiliki wa UMMY'S FOOD LINE PRODUCTS.wakati alipotembelea mabanda ya maonesho ya Wajasiriamali baada ya ufunguzi rasmi wa Maadhimisho ya Maonesho ya kutimia miaka 20 ya kuanzishwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyofanyika katika viwanja vya Fumba Mji mpya Mkoa wa Mjini Magharibi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti a Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiangalia bidhaa mbali mbali wakati alipotembelea mabanda ya maonesho ya wajasiriamali wadogowadogo baada ya ufunguzi rasmi wa Maadhimisho ya Maonesho ya kutimia miaka 20 ya kuanzishwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyofanyika katika viwanja vya Fumba Mji mpya Mkoa wa Mjini Magharibi (katikati)Naibu Waziri wa Biashara,Viwanda na Masoko Mhe.Hassan Khamis Hafidh
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti a Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akitoa hutuba ya ufunguzi wa Maadhimisho ya Maonesho ya kutimia miaka 20 ya kuanzishwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyofanyika leo katika viwanja vya Fumba Mji mpya (kulia) Waziri wa Kazi,Uwezeshaji,Wazee, Wanawake na Watoto Mhe. Maudline Cyrus Castico (kushoto) Naibu Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Mhe.Hassan Khamis Hafidh
Dk.Shein azungumza na Wazee wa Wilaya ya Dimani Kichama.
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzia na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Dimani Kichama Ndg.Hussein Ali Mgema (Kimti) kushoto Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar. Dr, Abdalla Juma Sadala, wakati akiwasili katika viwanja vya Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amani kwa ajili ya mkutano wake na Wazee wa CCM wa Wilaya ya Dimani
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,akiwasalimia Wananchi wakati akiwasili katika viwanja vya Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amaniu Zanzibar 17-11-2019 kuzungumza na Wazee wa Wilaya ya Dimani Kichama.
KATIBU wa CCM Wilaya ya Dimani Ndg.Yussuf Ramadhani Abdalla akiwasilisha Taarifa fupi ya Wazee wa CCM, wakati wa mkutano wao na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, uliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjiniu Amani
WAZEE wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Dimani Kichama wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) wakati wa mkutano huo uyliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amani Zanzibar
BAADHI ya Washauri wa Rais wa Zanzibar na Viongozi wa CCM na Wazee wakimsikiliza Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi. Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani )
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dr, Abdalla Juma Sadala Mabodi akizungumza wakati wa hafla ya mkutano na Wazee wa CCM Wilaya ya Dimani Kichama uliofanyika katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amani Zanzibar.
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akikabidhiwa Taarifa ya Wazee wa Wilaya ya Dimani Kichana na Katibu wa CCM Wilaya ya Dimani Ndg. Yussuf Ramadhani Abdalla na (kushoto kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar.Dr, Abdalla Juma Sadala Mabodi wakati wa hafla ya mkutano wake na Wazee uliofanyika 17-11-2019 katika ukumbi wa Afisi ya CCM Mkoa wa Mjini Amani
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar DK.Ali Mohamed Shein akizungumza na Wazee wa CCM wa Wilaya ya Mjini patika mkutano wa ndani akiwa katika ziara zake za kuimarisha Chama katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Amani Mkoa
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi.Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Wazee wa CCM Wilaya ya Dimani Kichama katika mkutano wake uliofanyika leo,17-11-2019.katika ukumbi wa Afisi ya CCM Wilaya ya Mjini.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar DK.Ali Mohamed Shein akizungumza na Wazee wa CCM wa Wilaya ya Mjini patika mkutano wa ndani akiwa katika ziara zake za kuimarisha Chama katika ukumbi wa Ofisi ya CCM Amani Mkoa.
Dk.Shein amezungumza na Wazee waCCM Wilaya ya Amani
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dk. Abdalla Juma Saadala (Mabodi) pamoja na Viongozi wengine wakati alipohudhuria katika mkutano wa ndani na Wazee wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Amani Kichama uliofanyika leo katika ukumbi wa CCM Ofisi ya Chama Mkoa Amani
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiwaangalia wasanii wa kikundi cha ngoma cha Chama mara alipowasili katika viwanja Ofisi ya Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa Amani wakati alipohudhuria katika mkutano wa ndani na Wazee wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Amani Kichama katika ukumbi wa CCM Ofisi ya Chama Mkoa Amani
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akiwapungia mkono Wanachama na Viongozi wa CCM cha wakati alipohudhuria katika mkutano wa ndani na Wazee wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Amani Kichama katika ukumbi wa CCM Ofisi ya Chama Mkoa Amani
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Amani Kichama Juma Khamis Haji alipokuwa akitoa salamu zake na kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein kuzungumza na Wazee wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Amani Kichama katika Mkutano wa ndani uliofanyika katika ukumbi wa CCM Ofisi ya Chama Mkoa Amani
Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Mapinduzi wakiwa katika mkutano wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la apinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alioufanya na Wazee wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Amani Kichama katika ukumbi wa CCM Ofisi ya Chama Mkoa Amani
Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Amani Kichama wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa akitoa hutuba yake katika mkutano na Wazee hao, uliofanyika katika ukumbi wa CCM Ofisi ya Chama Mkoa Amani
Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Amani Kichama wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani) alipokuwa akitoa hutuba yake katika mkutano na Wazee hao, uliofanyika katika ukumbi wa CCM Ofisi ya Chama Mkoa Amani
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake wakati alipofanya Mkutano wa ndani na Wazee wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Amani Kichama uliofanyika leo katika ukumbi wa CCM Ofisi ya Chama Mkoa Amani
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake alipofanya mkutano wa ndani na Wazee wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Amani Kichama uliofanyika katika ukumbi wa CCM Ofisi ya Chama Mkoa Amani