State House Blog

Dk.Hussein Ali Mwinyi amefanya ziara ya kutembelea Jengo la Abiria la Terminal 3 Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar.

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi amesafiri kuelekea Nchini Msumbiji Kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Sadc

Rais wa Zanzibar Alhajj Dk. Hussein Ali Mwinyi ameongoza wananchi katika kisoma cha dua Maalum kumuombea Rais wa kwanza wa Zanzibar

Alhajj Dk. Hussein Mwinyi amejumuika na Waumini wa Kiislam Katika Sala ya Ijumaa Msikiti wa Amaan