State House Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amekabidhiwa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali Zanzibar kwa Kipindi cha Mwaka wa Fedha 2023/2024

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar kwa Kipindi cha mwaka wa Fedha 2023/2024, akikabidhiwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar (CAG) Dkt.Othman Abass Ali, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 12-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar kwa Kipindi cha mwaka wa Fedha 2023/2024, akikabidhiwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar (CAG) Dkt.Othman Abass Ali, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 12-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar (CAG) Dkt. Othman Abass Ali, kabla ya kukabidhiwa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar kwa Kipindi cha mwaka wa Fedha, 2023/2024, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 12-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar kwa Kipindi cha mwaka wa Fedha 2023/2024, akikabidhiwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar (CAG) Dkt.Othman Abass Ali, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 12-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiagana na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar (CAG) Dkt. Othman Abass Ali (kushoto) baada ya hafla ya kukabidhi Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Zanzibar kwa Kipindi cha mwaka wa Fedha 2023/2024, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 12-5-2025

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amezindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali alipowasili katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja, kwa ajili ya uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uliofanyika leo 10-5-2025 Mkoa wa Kusini Unguja
  • WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuifungua kampeni hiyo iliyofanyika katika Mkoa wa Kusini Unguja leo 10-5-2025. Katika viwanja vya Mtende
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo kutoka kwa Mkaguzi wa Msaidizi wa Polisi, Vicent Innocent, Mkuu wa Dawati la Jinsia na Watoto, wakati akitembelea maonesho hayo yaliyofanyika katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja, kabla ya kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uliofanyika leo 10-5-2025 (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Divisheni ya Usimamizi Msaada wa Kisheria Zanzibar,Yusfa Abdalla Said, wakati akitembelea maonesho hayo yaliyofanyika katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja, kabla ya kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uliyofanyika leo 10-5-2025 (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba, Sheria ,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman
  • BAADHI ya Viongozi mbalimbali wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati akihutubia na kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uzinduzi huo uliyofanyika leo 10-5-2025 katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali alipowasili katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja, kwa ajili ya uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uliofanyika leo 10-5-2025 Mkoa wa Kusini Unguja
  • BAADHI ya Viongozi mbalimbali wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) wakati akihutubia na kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uzinduzi huo uliyofanyika leo 10-5-2025 katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo kutoka kwa Afisa wa Wizara ya Katiba na Sheria Tanzania –URT. Edith Shekidele, wakati akitembelea maonesho hayo yaliyofanyika katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja, kabla ya kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uliofanyika leo 10-5-2025 (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria, Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uzinduzi huo uliyofanyika leo 10-5-2025 katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuzindua Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uzinduzi huo uliyofanyika leo 10-5-2025 katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja
  • WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuifungua kampeni hiyo iliyofanyika katika Mkoa wa Kusini Unguja leo 10-5-2025. Katika viwanja vya Mtende
  • WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuifungua kampeni hiyo iliyofanyika katika Mkoa wa Kusini Unguja leo 10-5-2025. Katika viwanja vya Mtende
  • BAADHI ya Wanasheria wakifuatilia hafla ya Uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uzinduzi huo uliyofanyika katika viwanja vya Mtende Mkoa wa Kusini Unguja leo 10-5-2025
  • WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuifungua kampeni hiyo iliyofanyika katika Mkoa wa Kusini Unguja leo 10-5-2025. Katika viwanja vya Mtende
  • WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuifungua kampeni hiyo iliyofanyika katika Mkoa wa Kusini Unguja leo 10-5-2025. Katika viwanja vya Mtende

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amezungumza na Mgeni wake Rais wa Msumbiji Ikulu Zanzibar

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe. Daniel Chapo (kulia kwa Rais) wakati alipowasili katika Ikulu ya Zanzibar leo 9-5-2025
  • RAIS wa Msumbiji Mhe.Daniel Chapo akisalimia na Makamu wa Pili wa Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, wakati akitambulishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi, baada ya kumalizika kwa dhifa maalumu aliyomuandalia mgeni wake katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025
  • MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akiwa na mgeni wake Mke wa Rais wa Msumbiji Mama Gueta Selemane Chapo (kulia kwake) wakiwa katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar, wakati ukupigwa wimbo wa Taifa wa Tanzania na Msumbiji, wakati wa dhifa maalumu ya chakula cha mchana iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, iliyofanyila leo 9-5-2025 katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi akiongozana na mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe.Daniel Chapo, wakielekea katika eneo lililoandaliwa kwa ajili ya dhifa maalumu, aliyomuandalia mgeni wake katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025, akiwa Zanzibar kwa ziara ya siku moja
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe. Daniel Chapo (kulia kwa Rais) wakati ukupigwa wimbo wa Taifa wa Msumbiji na Tanzania, katika hafla maalumu ya chakula cha mchana alichomuandalia mgeni wake katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe. Daniel Chapo (kulia kwa Rais) wakati ukupigwa wimbo wa Taifa wa Msumbiji na Tanzania, katika hafla maalumu ya chakula cha mchana alichomuandalia mgeni wake katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025 na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Mahmoud Thabit Kombo
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu ya picha ikionesha ramani ya Msumbiji,na Rais wa Msumbiji Mhe.Daniel Chapo, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025, akiwa Zanzibar kwa ziara ya siku moja
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi maalumu ya picha ya mandhari ya Zanzibar, mgeni wake Rais wa Msumbiji Mhe.Daniel Chapo, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025, akiwa Zanzibar kwa ziara ya siku moja
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiongoza Ujumbe wa Zanzibar katika mazungumzo rasmin na Ujumbe wa Msumbiji ukiongozwa na Rais wa Msumbiji Mhe.Daniel Chapo (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025, akiwa Zanzibar kwa ziara ya siku moja
  • UJUMBE wa Viongozi wa Msumbiji wakiwa katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar wakati wa mazungumzo rasmin na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi na Rais wa Msumbiji Mhe. Daniel Chapo (hawapo pichani) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025
  • UJUMBE wa Viongozi wa Msumbiji wakiwa katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar wakati wa mazungumzo rasmin na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Rais wa Msumbiji Mhe. Daniel Chapo (hawapo pichani) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiongoza Ujumbe wa Zanzibar katika mazungumzo rasmin na Ujumbe wa Msumbiji ukiongozwa na Rais wa Msumbiji Mhe.Daniel Chapo (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025, akiwa Zanzibar kwa ziara ya siku moja.
  • RAIS wa Msumbiji Mhe. Daniel Chapo akiongoza Ujumbe wa Msumbiji katika mazungumzo rasmin na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiongoza ujumbe wa Zanzibar, katika mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025, akiwa Zanzibar kwa ziara ya siku moja
  • UJUMBE wa Viongozi wa Msumbiji wakiwa katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar wakati wa mazungumzo rasmin na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi na Rais wa Msumbiji Mhe. Daniel Chapo (hawapo pichani) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi akiongoza Ujumbe wa Zanzibar katika mazungumzo rasmin na Ujumbe wa Msumbiji ukiongozwa na Rais wa Msumbiji Mhe.Daniel Chapo (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 9-5-2025, akiwa Zanzibar kwa ziara ya siku moja.

Rais wa Zanzibar Alhajj Dk.Hussein Mwinyi amefungua Dua Maalumu ya kuwaombea Mamufti, Masheikh, Watu Waliotangulia na kuliombea Taifa Amani pamoja na Viongozi Wakuu wa Serikali Iliyofanyika Masjid Moh

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Waumini wa Dini Kiislamu katika kuitikia dua ya kuhitimisha Kisomo na dua Maalumu ya Kuwaombea Mamufti,Masheikh Watu Waliotangulia na Kuliombea Taifa Amani na Viongozi Wakuu wa Serikali, (kulia kwa Rais) Sheikh Mkuu na Mufti wa Tanzania Sheikh Dkt.Abubakar Zubeir Bin Ally, dua hiyo iliyofanyika katika Masjid Mohammed VI Bakwata Kinondoni Jijini Dar es Salaamu leo 8-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kufungua Dua Maalumu ya Kuwaombea Mamufti, Masheikh,Watu Waliotangulia na Kuliombea Taifa Amani pamoja na Viongozi Wakuu wa Serikali, dua hiyo iliyofanyika katika Masjid Mohammed VI Bakwata Kinondoni Jijini Dar es Salaamu leo 8-5-2025
  • WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapindizi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza katika hafla ya Ufunguzi wa Dua Maalum ya kuwaombea Mamufti, Masheikh ,kuliombea Taifa Amani pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, iliyofanyika katika Masjid Mohammed VI – Bakwata Kinondoni Jijini Dar es Salaamu,iliyofanyika leo 8-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kufungua Dua Maalumu ya Kuwaombea Mamufti, Masheikh, Watu Waliotangulia na Kuliombea Taifa Amani pamoja na Viongozi Wakuu wa Serikali, dua hiyo iliyofanyika katika Masjid Mohammed VI Bakwata Kinondoni Jijini Dar es Salaamu leo 8-5-2025
  • WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapindizi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza katika hafla ya Ufunguzi wa Dua Maalum ya kuwaombea Mamufti, Masheikh, kuliombea Taifa Amani pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, iliyofanyika katika Masjid Mohammed VI – Bakwata Kinondoni Jijini Dar es Salaamu,iliyofanyika leo 8-5-2025
  • WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapindizi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza katika hafla ya Ufunguzi wa Dua Maalum ya kuwaombea Mamufti, Masheikh, kuliombea Taifa Amani pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, iliyofanyika katika Masjid Mohammed VI – Bakwata Kinondoni Jijini Dar es Salaamu,iliyofanyika leo 8-5-2025
  • WAUMINI wa Dini ya Kiislam wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapindizi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza katika hafla ya Ufunguzi wa Dua Maalum ya kuwaombea Mamufti, Masheikh, kuliombea Taifa Amani pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, iliyofanyika katika Masjid Mohammed VI – Bakwata Kinondoni Jijini Dar es Salaamu,iliyofanyika leo 8-5-2025

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amepokea Maandamano ya Wafanyakazi katika Kilele cha Maadhimisho ya siku ya Wafanyakazi Duniani Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, akimsiliza Meneja wa PSSF Ofisi ya Zanzibar Rajab Kinande,wakati akitembelea maonesho ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, yaliyofanyika katika viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-5-2025 na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi, Uchumi na Uwekezaji Zanzibar Mhe. Shariff Ali Shariff
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipokea Maandamano ya Wafanyakazi ya Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, yaliyofanyika katika viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-5-2025.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akipokea Maandamano ya Wafanyakazi ya Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, yaliyofanyika katika viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-5-2025.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipokea Maandamano ya Wafanyakazi ya Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, yaliyofanyika katika viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-5-2025.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, akimsiliza Mkuu wa Mkurugenzi ya Mipango,Utumishi na Utawala Tume ya Uchaguzi Zanzibar Saadun Ahmed Khamis,wakati akitembelea maonesho ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, yaliyofanyika katika viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi, akimsiliza Naibu Kamishna Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA - Zanzibar Bw. Saleh Haji Pandu,wakati akitembelea maonesho ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, yaliyofanyika katika viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi,wakimsiliza Mkurugenzi Mipango na Uwekezaji Mfuko wa Huduma za Afya Zanzibar Halifa Muumini,wakati akitembelea maonesho ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, yaliyofanyika katika viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu na Mkurugenzi Rasilimali Watu Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) Viwe Ali Juma,wakati akitembelea maonesho ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, yaliyofanyika katika viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu na Mkurugenzi wa Yas /Mixx Zanzibar. Azizi Saidi Ali, wakati akitembelea maonesho ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi, yaliyofanyika katika viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana na Viongozi mbalimbali waliowasili viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja kwa ajili ya Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi,zilizofanyika leo 1-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa TUZO maalumu na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi,Uchumi na Uwekezaji Zanzibar Mhe.Shariff Ali Shariff,wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025, yaliyoadhimishwa Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-5-2025, katika viwanja vya Kizimkazi.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu ya Jahazi iliyotolewa na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja , akikabidhiwa na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud ,wakati wa Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025, yaliyoadhimishwa Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-5-2025, katika viwanja vya Kizimkazi
  • WAFANYAKAZI wa Taasisi za Serikali na Binafsi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025, maadhimisho hayo yaliyofanyika katika Mkoa wa Kusini Unguja katika viwanja vya Kizimkazi leo 1-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Dunia Mei Mosi 2025, yaliyofanyika Mkoa wa Kusini Unguja katika viwanja vya Kizimkazi leo 1-5-2025
  • WAFANYAKAZI wa Taasisi za Serikali na Binafsi Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025, maadhimisho hayo yaliyofanyika katika Mkoa wa Kusini Unguja katika viwanja vya Kizimkazi leo 1-5-2025
  • WAGENI waalikwa katika Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi 2025, wakifuatilia maadhimisho hayo yaliyofanyika katika Viwanja vya Kizimkazi Mkoa wa Kusini Unguja leo 1-5-2025, wakati Rais wa Zanzibar na Mwnyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia katika maadhimisho hayo yaliyofanyika