State House Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amefungua Kongamano la Utafiti wa Uviko-19 katika ukumbi wa CHPE Muhimbili.

  • WASHIRIKI wa Kongamano la la Matokeo ya Tafiti za UVIKO-19 wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi(hayupo pichani) akifungua Kongamano la Matokeo ya Tafiti za UVIKO-19, zilizofanywa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shiriki Muhimbili (MUHAS) kangamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Chpe Mihimbiji Jijini Dar es Salaam 21-3-2023
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamani la Matokeo ya Tafiti za UVIKO -19 zilizofanywa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kupitia ufadhili wa Marehemu Amne Salim, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Chpe Muhimbili Jijini Dar es Salam 21-3-2023
  • WANAFAMILIA ya Marehemu Amne Salim wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi(hayupo pichani) akifungua Kongamano la Matokeo ya Tafiti za UVIKO-19, zilizofanywa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shiriki Muhimbili (MUHAS) kangamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Chpe Mihimbiji Jijini Dar es Salaam 21-3-2023
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamani la Matokeo ya Tafiti za UVIKO -19 zilizofanywa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kupitia ufadhili wa Marehemu Amne Salim, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Chpe Muhimbili Jijini Dar es Salam 21-3-2023
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kulifungua Kongamani la Matokeo ya Tafiti za UVIKO -19 zilizofanywa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kupitia ufadhili wa Marehemu Amne Salim, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Chpe Muhimbili Jijini Dar es Salam 21-3-2023
  • MTOTO wa Marehemu Amne Salim kizungumza wakati wa ufunguzi wa Kongamano la la Matokeo ya Tafiti za UVIKO-19, zilizofanywa na Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shiriki Muhimbili (MUHAS) kangamano hilo lililofanyika katika ukumbi wa Chpe Mihimbiji Jijini Dar es Salaam 21-3-2023.