Ikulu Blog

Rais wa Zanzibar amehutubia katika Mahafali ya 21 ya Chuo Kikuu cha Tunguu (Zanzibar University) Kibele Leo 5-12-2023

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kukifungua Kituo cha Kujisomea cha Masafa Marefu katika Chuo cha ZU Zanzibar Kibele Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja, wakati wa Mahafali ya 21 ya Chuo hicho yaliyofanyika leo 5-12-2023 na (kulia kwa Rais) Mkuu wa Chuo cha ZU Mhandisi Dkt..Abdulqadil Othman Hafiz na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe.Lela Muhamed Mussa
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, alimsikiliza Msaidizi na Mratibu wa Kituo cha Kisomo cha Masafa marefu wa Chuo cha ZU Kubele Tunguu Wilaya ya Kati Unguja, Muhusin Mustafa, baada ya kukifungua Kituo cha Kujisomea cha Masafa Marefu katika Chuo hicho, wakati wa hafla ya Mahafali ya 21 ya Chuo hicho yaliyofanyika leo 5-12-2023 katika viwanja vya Chuo Kibele Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia na Mkuu wa Chuo cha ZU Mhandisi Dkt.Abdulqadir Othman Hafiz (kushoto) kukifungua Kituo cha kujisomea cha Masafa marefu, katika Chuo cha ZU Kibele Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja , wakati wa hafla ya Mahafali ya 21 ya chuo hicho yaliyofanyika leo 5-12-2023.na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisoma maelezo ya jiwe la msingi la ufunguzi wa Kituo cha Kujisomea cha Masafa marefi, katika Chuo cha ZU Kibele Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja, akiwa na Mkuu wa Chuo cha ZU Mhandisi Dkt. Abdulqadil Othman Hafiz,wakati wa hafla ya Mahafali ya 21 ya Chuo hicho yaliyofanyika leo 5-12-2023 katika viwanja vya Chuo hicho Kibele Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya 21 ya Chuo cha ZU Zanzibar Kibele Tunguu Wilaya Kati Unguja Mkoa wa Kusini Unguja leo 5-12-2023.

Dk.Mwinyi ameshiriki Chakula cha Usiku na GPE Ikulu mjini Zanzibar

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akitoa hutuba yake wakati wa hafla ya Chakula cha Usiku alichowaandalia Uongozi wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani ya GPE Duniani katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi alipokuwa akitoa hutuba yake wakati wa hafla ya Chakula cha Usiku alichowaandalia Uongozi wa Bodi ya GPE Duniani katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akitoa hutuba yake wakati wa hafla ya Chakula cha Usiku alichowaandalia Uongozi wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani ya GPE Duniani katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana
  • Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE) wakiwa katika hafla ya Chakula cha usiku kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana
  • Baadhi ya Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE) wakimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt . Mrisho Jakaya Kikwete (hayupo pichani) jana wakati wa hafla ya Chakula cha usiku kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana.
  • Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt . Mrisho Jakaya Kikwete (kushoto) alipokuwa akitoa hutuba yake wakati wa hafla ya Chakula cha Usiku kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana.
  • Baadhi ya Viongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE) wakiwa katika hafla ya Chakula cha usiku kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana.
  • Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani (GPE) wakiwa katika hafla ya Chakula cha usiku kilichoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar jana.
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akiwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ushirikiano wa Elimu Duniani, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt . Mrisho Jakaya Kikwete na Afisa Mtendaji Mkuu wa GPE Bibi. Laura Frigenti (kushoto) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi (kulia) katika hafla ya Chakula cha Usiku alichokiandaa kwa Bodi Uongozi wa Bodi ya GPE Duniani katika viwanja vya Ikulu jana Usiku.

uKARABATI WA UWANJA WA AMAAN ZANZIBAR

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akitoa maelekezo wakati alipokagua Maendeleo ya Ukarabati wa Ujenzi wa uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar unaojengwa na Kampuni ya ORKUN Limited kutoka Nchini Uturuki (wa pili kulia) Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa (kushoto) Waziri wa Habari Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe.Tabia Maulid Mwita
  • Picha zinazoonesha sehemu za Uwanja wa Amaan ambapo ukiwa katika hatua za mwisho kukamili kwa ujenzi wake unaofanywa na Kampuni ya ORKUN kutoka nchini Uturuki
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya ORKUN Limited kutoka Nchini Uturuki Bw.Ilhan Karadeniz wakati alipofanya ziara maalum ya kutembelea Maendeleo ya Ukarabati wa Ujenzi wa uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akipiga Mpira wakati alipotembelea Maendeleo ya Ukarabati wa Ujenzi wa uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar unaojengwa na Kampuni ya ORKUN Limited kutoka Nchini Uturuki
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akitia saini katika mpira wakati alipokagua Maendeleo ya Ukarabati wa Ujenzi wa uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar unaojengwa na Kampuni ya ORKUN Limited kutoka Nchini Uturuki (kulia) Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya ORKUN Limited Bw. Ilhan Karadeniz na Mkuu wa Mkoa Mjini Magharibi Mhe.Idrissa Kitwana Mustafa
  • Picha zinazoonesha sehemu za Uwanja wa Amaan ambapo ukiwa katika hatua za mwisho kukamili kwa ujenzi wake unaofanywa na Kampuni ya ORKUN kutoka nchini Uturuki
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akipata maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya ORKUN Limited kutoka Nchini Uturuki Bw.Ilhan Karadeniz wakati alipofanya ziara maalum ya kutembelea Maendeleo ya Ukarabati wa Ujenzi wa uwanja wa Amaan Studium Mjini Zanzibar

UJUMBE WA MAKAMU MWENYEKITI MTENDAJI WA SHIRIKISHO LA VIWANDA NA BIASHARA KUTOKA CHINA

  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akimkabidhi zawadi ya mlango wa Zanzibar Makamu Mwenyekiti Mtendaji wa Shirikisho la Viwanda na Biashara la China Bw.Xu Lejiang wakati wa mazungumzo alipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo pamoja na Ujumbe aliofuatana nao
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa Makamu Mwenyekiti Mtendaji wa Shirikisho la Viwanda na Biashara la China Bw.Xu Lejiang wakati wa mazungumzo alipofika Ikulu Jijini Zanzibar leo pamoja na Ujumbe aliofuatana nao
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo na ujumbe wa Makamu Mwenyekiti Mtendaji wa Shirikisho la Viwanda na Biashara la China walipofika Ikulu Jijini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na ujumbe wa Makamu Mwenyekiti Mtendaji wa Shirikisho la Viwanda na Biashara la China walipofika Ikulu Jijini Zanzibar
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na ujumbe wa Makamu Mwenyekiti Mtendaji wa Shirikisho la Viwanda na Biashara la China Bw.Xu Leijiang (wa pili kulia) walipofika Ikulu Jijini Zanzibar

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi ameipongeza Timu ya Karume Boys na kujumuika na Wachezaji katika Dhifa Maalum aliyowaandalia katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza wakati wa Dhifa Maalum ya chakula maalum alichowaandaliwa Wachezaji wa Timu ya Karume Boys U-15 kwa ushindi wa Ubingwa wa Kombe la CECAFA U-15 kwa kuifunga Timu ya Taifa ya Uganda u-15 katika mchezo wa Fainali uliofanyika Nchini Uganda wiki iliyopita, hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 20-11-2023
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza wakati wa Dhifa Maalum ya chakula maalum alichowaandaliwa Wachezaji wa Timu ya Karume Boys U-15 kwa ushindi wa Ubingwa wa Kombe la CECAFA U-15 kwa kuifunga Timu ya Taifa ya Uganda u-15 katika mchezo wa Fainali uliofanyika Nchini Uganda wiki iliyopita, hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 20-11-2023
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza wakati wa Dhifa Maalum ya chakula maalum alichowaandaliwa Wachezaji wa Timu ya Karume Boys U-15 kwa ushindi wa Ubingwa wa Kombe la CECAFA U-15 kwa kuifunga Timu ya Taifa ya Uganda u-15 katika mchezo wa Fainali uliofanyika Nchini Uganda wiki iliyopita, hafla hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 20-11-2023
  • WACHEZAJI wa Timu ya Karume Boys U-15 wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwapongeza kwa kuchukua Ubingwa wa Kombe la CECAFA U-15, katika mchezo wa fainali na Timu ya Uganda uliyofanyika Nchini Uganda wiki iliyopita, wakati wa dhifa maalum ya chakula na kuwapongeza iliyofanyika katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar leo 20-11-2023
  • BAADHI ya Viongozi wa Vyama vya Siasa na Wadau wa michezo Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwapongeza Wachezaji wa Timu ya Karume Boys U-15 kwa Ushindi wa Ubingwa wa Kombe la CECAFA U-15 kwa kuifunga Timu ya Uganda katika mchezo wa Fainali ya Michuano ya CECAFA U-15 Iiliyofanyika Nchini Uganda wiki iliyopita
  • Karume Boys Mabingwa wa Kombe la CECAFA U-15 kwa mwaka 2023-2024 wakiwa na Kombe lao la Ubingwa na Viongozi wa ZFF (kushoto ) Rais wa ZFF Suleiman Mahamoud Jabir wakiwa katika viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika viwanja hivyo kwa ajili ya kujumuika na Wachezaji katika chakula maalum alichowaandalia leo 20-11-2023
  • VIONGOZI wa Serikali wakiwa katika Viwanja vya Ikulu Jijini Zanzibar wakihudhuria dhifa maalum iliyoandaliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa ajili ya kuwapongeza Wachezaji wa Timu ya Karume Boys U-15 iliyotowa Ubingwa wa CECAFA U-15 katika mchezo wa Fainali na Timu ya Taifa ya Uganda U-15 uliofanyika wiki iliyopita Nchini Uganda kwa ushindi wa bao 4-3