State House Blog

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amezungumza na Mjumbe Maalumu wa Biashara wa Serikali ya Uingereza kwa ukanda wa Afrika Mashariki Mhe.Kate Osamor KJ

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Mhe. Kate Osamor (MB) Mjumbe Maalumu wa Biashara wa Serikali ya Uingereza kwa Afrika Mashariki (kulia kwa Rais) akiwa na ujumbe wake mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 11-6-2025.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni wake Mhe.Kate Osamor (MB) Mjumbe Maalumu wa Biashara wa Serikali ya Uingereza kwa Afrika Mashariki,baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 11-6-2025.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Mhe. Kate Osamor (MB) Mjumbe Maalumu wa Biashara wa Serikali ya Uingereza kwa Afrika Mashariki (kulia kwa Rais) akiwa na ujumbe wake mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 11-6-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimia na mgeni wake Mhe.Kate Osamor (MB) Mjumbe Maalumu wa Biashara wa Serikali ya Uingereza kwa Afrika Mashariki,alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na ujumbe wake mazungumzo hayo yaliyofanyika leo 11-6-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Mhe.Kate Osamor (MB) Mjumbe Maalumu wa Biashara wa Serikali ya Uingereza kwa Afrika Mashariki, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 11-6-2025

Rais wa Zanzibar Mhe. Dk.Hussein Mwinyi amekutana na Mabingwa wa Utafiti wa Dawa za Asili kutoka China

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu na Naibu Mkurugenzi wa Chuo cha Utafiti wa Dawa za Asili za Kichina Prof.Song Li Juan, baada ya kumaliza mazungumzo na Ujumbe wa Mabingwa wa Utafiti wa Dawa za Asili za Kichina, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 10-6-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Mabingwa wa Utafiti wa Dawa za Asili za Kichina, ukiongozwa na Naibu Mkurugenzi wa Chuo cha Utafiti wa Dawa za Asili za Kichina Prof. Song Li Juan, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 10-6-2025.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Mabingwa wa Utafiti wa Dawa za Asili za Kichina, ukiongozwa na Naibu Mkurugenzi wa Chuo cha Utafiti wa Dawa za Asili za Kichina Prof. Song Li Juan, na (kulia kwa Rais) Balozi Mdogo wa China anayefanyia kazi zake Zanzibar Mhe.Li.Quanghua, na Ikushoto kwa Rais) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed Mazrui, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 10-6-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Mabingwa wa Utafiti wa Dawa za Asili za Kichina, ukiongozwa na Naibu Mkurugenzi wa Chuo cha Utafiti wa Dawa za Asili za Kichina Prof. Song Li Juan, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 10-6-2025

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amelihutubia Baraza la Eid Al-Adha katika Ukumbi wa Dkt. Ali Mohamed Shein Suza Tunguu Zanzibar.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika viwanja vya Ukumbi wa Dkt.Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu kwa ajili ya kulihutubia Baraza la Eid Al-Adha lililofanyika katika ukumbi huo, baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid Al-Adha, na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Alhajj Dkt.Haroun Ali Suleiman
  • GWARIDE Maalumu la Kikosi cha FFU lililoandaliwa kwa ajili ya Baraza la Eid Al-Adha wakitowa heshima kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, lililofanyika katika viwanja vya Ukumbi wa Dkt.Ali Mohamed Shein SUZA Tungui Mkoa wa Kusini Unguja leo 7-6-2025
  • MABALOZI Wadogo wanaofanyia kazi zao Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid Al-Adha,wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akilihutubia Baraza la Eid, lililofanyika katika ukumbi wa Dkt.Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja leo 7-6-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Viongozi mbalimbali wa Serikali, baada ya kumalizika kulihutubia Baraza la Eid Al-Adha,lililofanyika katika ukumbi wa Dkt.Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja leo 7-6-2025
  • WANANCHI wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid Al-Adha, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia Baraza la Eid lililofanyika katika ukumbi wa Dkt. Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja leo 7-6-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia Baraza la Eid Al-Adha lililofanyika katika ukumbi wa Dkt.Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu leo 7-6-2025, baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid Al-Adha iliyofanyika katika Masjid Taqwaa Bambi Mkoa wa Kusini Unguja
  • MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akiwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid Al-Adha, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akihutubia Baraza la Eid lililofanyika katika ukumbi wa Dkt.Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja leo 7-6-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia Baraza la Eid Al-Adha lililofanyika katika ukumbi wa Dkt.Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu leo 7-6-2025, baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid Al-Adha iliyofanyika katika Masjid Taqwaa Bambi Mkoa wa Kusini Unguja
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia Baraza la Eid Al-Adha lililofanyika katika ukumbi wa Dkt.Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu leo 7-6-2025, baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid Al-Adha iliyofanyika katika Masjid Taqwaa Bambi Mkoa wa Kusini Unguja
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia Baraza la Eid Al-Adha lililofanyika katika ukumbi wa Dkt.Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu leo 7-6-2025, baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid Al-Adha iliyofanyika katika Masjid Taqwaa Bambi Mkoa wa Kusini Unguja
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akipokea salamu ya heshima kutoka kwa Kikao cha FFU, wakati wa Gwaride maalumu lililoandaliwa kwa ajili ya Baraza la Eid Al-Adha, lililofanyika katika viwanja vya ukumbi wa Dkt.Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja leo 7-6-2025
  • WANANCHI wakifuatilia hutuba ya Baraza la Eid Al-Adha, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia Baraza la Eid lililofanyika katika ukumbi wa Dkt. Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja leo 7-6-2025

Rais wa Zanzibar Alhajj Dk.Hussein Mwinyi ameshiriki Sala ya Eid Al-Adha Masjid Taqwaa Bambi Mkoa wa Kusini Unguja.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Alhajj Othman Masoud Othman na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla, baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid Al-Adha iliyofanyika katika Masjid Taqwaa Bambi Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja leo 7-6-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akifurahia jambo wakati akibadilishama mawazo na Viongozi wa Serikali,baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid Al-Adha, iliyofanyika katika Masjid Taqwaa Bambi Wilaya ya Kati,Mkoa wa Kusini Unguja, leo 7-6-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijuika na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika kuitikia dua ikisomwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Hassan Othman Ngwali (hayupo pichani) na (kushoto kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid Al-Adha iliyofanyika katika Masjid Taqwaa Bambi Wilaya Kati.Mkoa wa Kusini Unguja leo 7-6-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijuika na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika kuitikia dua ikisomwa na Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Hassan Othman Ngwali (hayupo pichani) na (kushoto kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid Al-Adha iliyofanyika katika Masjid Taqwaa Bambi Wilaya Kati.Mkoa wa Kusini Unguja leo 7-6-2025
  • WAUMINI wa Dini ya Kiislamu Zanzibar wakifuatilia hutuba ya Sala ya Eid Al-Adha ikisomwa na Sheikh Abdulrahaman Ahmed Abdallah, baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid iliyofanyika katika Masjid Taqwaa Bambi Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja leo 7-6-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya Eid Al-Adha, iliyofanyika leo 7-6-2025 katika Masjid Taqwaa Bambi Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika viwanja vya Masjid Taqwaa Bambi Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja kwa ajili ya Sala ya Eid Al-Adha, iliyofanyika katika masjid hiyo leo 7-6-2025, akiongozana na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.Ayoub Mohamed Mahmoud (kulia kwa Rais) na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba,Sheria Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Alhajj Dkt.Haroun Ali Suleiman
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Dini ya Kiislamu akifuatilia Hutuba ya Sala ya Eid Al-Adha, ikisomwa na Sheikh Abdurahaman Ahmed Abdallah, baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid, iliyofanyika katika Masjid Taqwaa Bambi Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja iliyofanyika leo 7-6-2025

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Mwinyi ameshuhudia utiaji wa saini wa SMZ na Benki ya CRDB Ikulu Zanzibar.

  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiaga na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Abdulmajis Nsekela, baada ya kumalizika kwa hafla ya utiaji wa saini ya mkopo wa zaidi ya shilingi Bilioni 240 kwa ajili ya ujenzi wa Skuli 23 za ghorofa za Kisasa Zanzibar, mkopo huo unaotolewa na Benki ya CRDB kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 21-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza wakati wa hafla ya utiaji wa saini ya mkopo wa zaidi ya shilingi Bilioni 240 kwa ajili ya ujenzi wa Skuli 23 za ghorofa za Kisasa Zanzibar, mkopo huo unaotolewa na Benki ya CRDB kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 21-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akizungumza wakati wa hafla ya utiaji wa saini ya mkopo wa zaidi ya shilingi Bilioni 240 kwa ajili ya ujenzi wa Skuli 23 za ghorofa za Kisasa Zanzibar, mkopo huo unaotolewa na Benki ya CRDB kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 21-5-2025
  • WATENDAJI Wakuu wa Benki ya CRDB wakifuatilia hafla ya utiaji wa saini ya mkopo wa zaidi ya shilingi Bilioni 240 kwa ajili ya ujenzi wa Skuli za Kisasa Zanzibar, unaotolewa na benki hiyo kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 21-5-2025
  • Viongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar na Wageni waalikwa wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza wakati wa hafla ya utiaji wa saini ya mkopo wa zaidi ya shilingi Bilioni 240 zilizotolewa na Benki ya CRDB kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa ajili ya ujenzi wa Skuli 23 za ghoroa za kisasa Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 21-5-2025
  • BAADHI ya Watendaji Wakuu wa PDB na Wizara ya Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar wakifuatilia hafla ya utiaji wa saini ya mkopo wa zaidi wa shilingi Bilioni 240 kwa ajili ya ujenzi wa Skuli 23 za ghorofa za Kisasa Zanzibar, mkopo huo unaotolewa na Benki ya CRDB kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 21-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akishuhudia utiaji wa saini wa Mkataba wa mkopo wa zaidi ya shilingi bilioni 240 unaotolewa na Benki ya CRDB kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa ajili ya ujenzi wa Skuli za Kisasa za ghorofa 23, wakisaini mkataba kwa upande wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar akisaini Katibu Mkuu Wizara ya Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar.Dkt. Juma Malik Akili na kwa upande wa CRDB akisaini Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB. Abdulmajid Nsekela, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 21-5-2025
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akishuhudia utiaji wa saini wa Mkataba wa mkopo wa zaidi ya shilingi bilioni 240 unaotolewa na Benki ya CRDB kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa ajili ya ujenzi wa Skuli za Kisasa za ghorofa 23, wakisaini mkataba kwa upande wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar akisaini Katibu Mkuu Wizara ya Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar.Dkt. Juma Malik Akili na kwa upande wa CRDB akisaini Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB. Abdulmajid Nsekela, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 21-5-2025
  • WATENDAJI Wakuu wa Benki ya CRDB wakifuatilia hafla ya utiaji wa saini ya mkopo wa zaidi ya shilingi Bilioni 240 kwa ajili ya ujenzi wa Skuli za Kisasa Zanzibar, unaotolewa na benki hiyo kwa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 21-5-2025
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa mkopo wa Shilingi Bilioni 240 kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Benki ya CRDB kwa ajili ya ujenzi wa skuli 23 za kisasa za ghorofa hapa Zanzibar.