Dkt.Hussein Ali Mwinyi ameshiriki katika Ibada ya Sala ya Ijumaa Fuoni Chunga.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua baada ya kumalizika kwa sala ya Ijumaa iliyosaliwa katika Msikiti wa Al Abrar, baada ya kujumuika na Waumini wa Kiisilam sala hiyo ilisaliwa Fuoni Chunga, Wilaya ya Magharib "B" Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja
Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar akitoa mawaidha baada ya kukamilika kwa sala ya Ijumaa iliyosaliwa katika Msikiti wa Al Abrar,uliopo Fuoni Chunga Wilaya ya Magharib "B" Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi alihudhuria.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Viongozi wa serikali pamoja na wa dini wakiomba dua baada ya kumalizika kwa sala ya Ijumaa iliyosaliwa katika Msikiti wa Al Abrar, ulio[po Fuoni Chunga, Wilaya ya Magharib "B" Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na watoto wa Kijiji cha Fuoni Chunga baada ya kujumuika na waumini wa Dini ya Kiisilam katika Sala ya Ijumaa iliyosaliwa Msikiti wa Al Abrar, Fuoni Chunga, Wilaya ya Magharib "B" Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Serikali pamoja na wa Dini ya kiislam baada ya kuwasili katika Msikiti wa Al Abrar, ulio[po Fuoni Chunga, Wilaya ya Magharib "B" Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja kwa ajili ya Sala ya Ijumaa.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi akitoa salamu zake baada ya kumalizika kwa Ibada ya sala ya ijumaa iliyofanyika katika Msikiti wa Al Abrar, ulio[po Fuoni Chunga, Wilaya ya Magharib "B" Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Wananchi wa Kijiji cha Fuoni Chunga baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyosaliwa katika Msikiti wa Al Abrar, uliopo Fuoni Chunga, Wilaya ya Magharib "B" Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na watoto wa Kijiji cha Fuoni Chunga baada ya kujumuika na waumini wa Dini ya Kiisilam katika Sala ya Ijumaa iliyosaliwa Msikiti wa Al Abrar, Fuoni Chunga, Wilaya ya Magharib "B" Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Waumini wa dini ya Kiisilam baada ya kumalizika kwa Ibada ya sala ya Ijumaa ambapo Mheshimiwa Rais alisali katika Msikiti wa Al Abrar, uliopo Fuoni Chunga, Wilaya ya Magharib "B" Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amelizindua baraza la Wawakilishi leo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akipokea salamu ya Heshima kutoka kwa Jeshi la Polisi wakati wa Uzinduzi wa Baraza la Wawakilishi katika viwanja vya chukwani mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa katika picha ya pamoja baina ya Mheshimiwa Jaji mkuu wa Zanzibar Mheshimiwa Ramadhan Abdalla Shaaban pamoja na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Zubeir Ali Maulid katika viwanja vya Baraza hilo leo tarehe 10 Octoba, 2025
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akilihutubia Baraza la Wawakilishi leo tarehe 10 Octoba, 2025 katika Ukumbi wa baraza hilo Chukwani Zanzibar.
Mke wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe.Mama Mariyam Mwinyi akiwa katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi kushiriki katika uzinduzi wa Baraza la Wawakilishi baada ya kufanyika Uchaguzi wa Octoba 2025 na kupelekea kuundwa kwa Baraza jipya la Uwakilishi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akilihutubia Baraza jipya la Uwakilishi kufuatia kufanyika kwa uchaguzi mpya wa Octoba 2025 na kupatikaniwa kwa wajumbe wapya wa Baraza hilo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akikagua Gwaride lililoandaliwa na Jeshi la Polisi Zanzibar kabla ya kulizindua Baraza jipya la Wawakishi leo Chukwani Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akilihutubia Baraza jipya la Uwakilishi kufuatia kufanyika kwa uchaguzi mpya wa Octoba 2025 na kupatikaniwa kwa wajumbe wapya wa Baraza hilo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akisalimiana na Spika wa Baraza la Wawakilishi katika viwanja wa Baraza hilo hapo chukwani Zanzibar wakati Mheshimiwa rais alipokwenda kulizindua Baraza hilo leo tarehe 10 Octoba, 2025.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akipokea salamu ya Heshima kutoka kwa Jeshi la Polisi wakati wa Uzinduzi wa Baraza la Wawakilishi katika viwanja vya chukwani mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akiwa katika picha ya pamoja baina ya Mheshimiwa Jaji mkuu wa Zanzibar Mheshimiwa Ramadhan Abdalla Shaaban pamoja na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Zubeir Ali Maulid katika viwanja vya Baraza hilo leo tarehe 10 Octoba, 2025 
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Tiketi ya CCM Mhe.Dk.Hussein Mwinyi amechukua fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar.
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi wa CCM katika kuitikia dua kumuombea Rais wa Kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza ka Mapinduzi Hayati Sheikh Abeid Amani Karume alipofika katika viwanja vya kaburi Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar.
VIJANA wa UVCCM wakishiriki katika zoezi la kumshindikiza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kuchukua fomu ya Urais Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar Maisara Jijini Zanzibar leo 30-8-2025
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Cha Cha Mapinduzi, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwapungia mkono Wananchi na kuwasalimia akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakipita katika mitaa ya michezani akielekea Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar akitokea Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar Maisara Jijini Zanzibar leo 30-8-2025
VIJANA Stronger With Mwinyi wakihasasisha wakati wa Mgombea wa Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, kuchukuwa Fomu Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar Maisara Jijini Zanzibar leo 30-8-2025
MGOMBEA Urais wa Zanbzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe.Jaji George Joseph Kazi, hafla hiyo iliyofanyika katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar Maisara Jijini Zanzibar leo 30-8-2025.
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Cha Cha Mapinduzi, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwapungia mkono Wananchi na kuwasalimia akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakipita katika mitaa ya michezani akielekea Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar akitokea Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar Maisara Jijini Zanzibar leo 30-8-2025
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akionesha mkoba wake ukiwa na Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar baada ya kukabidhiwa fomu za kugombea Urais leo 30-8-2025 katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Maisara Jijini Zanzibar na (kulia kwa Rais) Mama Mariam Mwinyi na (kushoto kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohammed Said Dimwa
MGOMBEA Urais wa Zanbzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar Mhe.Jaji George Joseph Kazi, hafla hiyo iliyofanyika katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar Maisara Jijini Zanzibar leo 30-8-2025 
Mkurugenzi wa Uchaguzi, Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina akizungumza na kutowa maelezo wakati wa zoezi la kukabidhi Fomu ya Kugombea Urais wa Zanzibar, kwa Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, hafla hiyo iliyofanyika katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar Maisara Jijini Zanzibar leo 30-8-2025
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisaini kitabu cha wageni wakati alipofika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar Maisara Jijini Zanzibar leo 30-8-2025 kwa ajili ya kuchukua Fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Mkurugenzi wa Uchaguzi, Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina na (kulia kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohammed Said Dimwa
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar Maisara Jijini Zanzibar, kwa ajili ya kuchukua Fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar, akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa CCM Zanzibar
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisaini kitabu cha wageni wakati alipofika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar Maisara Jijini Zanzibar leo 30-8-2025 kwa ajili ya kuchukua Fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Mkurugenzi wa Uchaguzi, Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina na (kulia kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Mohammed Said Dimwa.
MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwasili katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar Maisara Jijini Zanzibar, kwa ajili ya kuchukua Fomu ya kugombea Urais wa Zanzibar, akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa CCM Zanzibar
VIJANA wa UVCCM wakishiriki katika zoezi la kumshindikiza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kuchukua fomu ya Urais Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar Maisara Jijini Zanzibar leo 30-8-2025
VIJANA Stronger With Mwinyi wakihasasisha wakati wa Mgombea wa Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, kuchukuwa Fomu Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar Maisara Jijini Zanzibar leo 30-8-2025
VIJANA madereva wa Bodaboda Zanzibar wakishiriki katika zoezi la kumshindikiza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi, katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar Maisara Jijini Zanzibar leo 30-8-2025.
VIJANA madereva wa Bodaboda Zanzibar wakishiriki katika zoezi la kumshindikiza Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi, katika Ofisi za Tume ya Uchaguzi Zanzibar Maisara Jijini Zanzibar leo 30-8-2025.
Rais wa Zanzbar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi ameifungua Hoteli ya Kitalii ya Zanbreeze Beach Resort & Spa Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Wafanyakazi wa Hoteli ya Kitalii ya Zanbreeze Beach Resort & SPA Zanzibar, baada ya kumalizika kwa hafla ya ufunguzi wa hoteli hiyo iliyoko katika Kijiji cha Kikungwi Mkoa wa Kusini Unguja leo 16-8-2025 na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Hamida Mussa Khamis na (kulia kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi.Uchumi na Uwekezaji Zanzibar Mhe.Shariff Ali Shariff
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi mbalimbali alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya Zanbreeze Beach Resort & SPA Zanzibar , kwa ajili ya ufunguzi wa hoteli hiyo iliyoko katika Mkoa wa Kusini Unguja katika Kikjiji cha Kikungwi, ufunguzi huo uliyofanyika leo 16-8-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuifungua Hoteli ya Kitalii ya Zanbreeze Beach Resort &SPA; Zanzibar, hafla hiyo ya ufunguzi iliyofanyika leo 16-8-2025 katika Kijiji cha Kikungwi Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuifungua Hoteli ya Kitalii ya Zanbreeze Beach Resort &SPA; Zanzibar, hafla hiyo ya ufunguzi iliyofanyika leo 16-8-2025 katika Kijiji cha Kikungwi Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja
WANANCHI wa Kijiji cha Kikungwi Mkoa wa Kusini Unguja wakifuatilia hafla ya ufunguzi wa Mradi wa Hoteli ya Kitalii ya Zanbreeze Beach Resort &SPA; Zanzibar, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuifungua hoteli hiyo iliyoko katika Kijiji cha Kikungwi Wilaya ya Kati Unguja ufunguzi huo uliyofanyika leo 16-8-2025
WANANCHI wa Kijiji cha Kikungwi Mkoa wa Kusini Unguja wakifuatilia hafla ya ufunguzi wa Mradi wa Hoteli ya Kitalii ya Zanbreeze Beach Resort &SPA; Zanzibar, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuifungua hoteli hiyo iliyoko katika Kijiji cha Kikungwi Wilaya ya Kati Unguja ufunguzi huo uliyofanyika leo 16-8-2025 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuifungua Hoteli ya Kitalii ya Zanbreeze Beach Resort &SPA; Zanzibar, hafla hiyo ya ufunguzi iliyofanyika leo 16-8-2025 katika Kijiji cha Kikungwi Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja 
VIJANA wa Kikundi cha uhamasishaji wakishangilia katika hafla ya ufunguzi wa Hoteli ya Kitalii ya Zanbreeze Beach Resort &SPA; Zanzibar, wakati wa ufunguzi huo uliyofanyika leo 16-8-2025 katika Kijiji cha Kikungwi Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuifungua hoteli hiyo 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akitembelea Hoteli ya Zanbreeze Beach Resort &SPA; Zanzibar, baada ya kuifungua leo 16-8-2025, iliyoko katika kijiji cha kikungwi Mkoa wa Kusini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea Hoteli ya Zanbreeze Beach Resort &SPA; Zanzibar, baada ya kuifungua leo 16-8-2025, iliyoko katika kijiji cha kikungwi Mkoa wa Kusini Unguja
WANANCHI wa Kijiji cha Kikungwi Mkoa wa Kusini Unguja wakifuatilia hafla ya ufunguzi wa Mradi wa Hoteli ya Kitalii ya Zanbreeze Beach Resort &SPA; Zanzibar, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia na kuifungua hoteli hiyo iliyoko katika Kijiji cha Kikungwi Wilaya ya Kati Unguja ufunguzi huo uliyofanyika leo 16-8-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuifungua Hoteli ya Kitalii ya Zanbreeze Beach Resort & SPA Zanzibar, iliyoko katika Kijiji cha Kikungwi Mkoa wa Kusini Unguja, ufunguzi huo uliyofanyika leo 16-8-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuweka Jiwe la Msingi la ufunguzi wa Hoteli ya Kitali ya Zanbreeze Beach Resort &SPA; Zanzibar iliyoko katika Kijiji cha Kikungwi Mkoa wa Kusini Unguja, ufunguzi huo uliyofanyika leo 16-8-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk .Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuifungua Hoteli ya Kitalii ya Zanbreeze Beach Resort & SPA Zanzibar, iliyoko katika Kijiji cha Kikungwi Mkoa wa Kusini Unguja, ufunguzi huo uliyofanyika leo 16-8-2025.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiondoa pazia kuweka Jiwe la Msingi la ufunguzi wa Hoteli ya Kitali ya Zanbreeze Beach Resort &SPA; Zanzibar iliyoko katika Kijiji cha Kikungwi Mkoa wa Kusini Unguja, ufunguzi huo uliyofanyika leo 16-8-2025. 
Rais wa Zanzibar Alhajj Dk.Hussein Mwinyi amezungumza na Uongozi wa Al Madrasat Swifat Nabawiyatil Msolopa Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Mwalimu Mkuu wa Al Madrasat Swifat Nabawiyatil Karimah (Msolopa) Zanzibar. Ustadh Mohammed Salum, baada ya kumaliza mazungumzo na Uongozi huo na (kulia kwa Rais) Mlezi wa Jumuiya ya Zawiya Kadiria Tanzania Sayyid Othman Abdulkadir Othman.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Uongozi wa Al Madrasat Swifat Nabawiyatil Karimah (Msolopa) baada ya kumaliza mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 15-8-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Uongozi wa Al Madrasat Swifat Nabawiyati Karimah (Msolopa) ukiongozwa na Mlezi wa Jumuiya ya Zawiya Kadiria Tanzania Sayyid Othman Abdulkadir Othman (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 15-8-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Uongozi wa Al Madrasat Swifat Nabawiyati Karimah (Msolopa) ukiongozwa na Mlezi wa Jumuiya ya Zawiya Kadiria Tanzania Sayyid Othman Abdulkadir Othman (kulia kwa Rais) mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 15-8-2025