Katibu Mkuu Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa,Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ ameapishwa.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein amemuapisha Radhia Rashid Haroub kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Idara Maalum za SMZ.

Read More

Japan kuendelea kuiiunga mkono Tanzania katika kuimarisha miradi mbali mbali ya maendeleo,

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesisitiza haja ya kuimarisha zaidi uhusiano na ushirikiano uliopo kati ya Tanzania na Japan hasa kwa kutambua hatua…

Read More

Jaji Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania akimuapisha Dk.Shein kuwa mjumbe wa Baraza la mawaziri

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein akiapishwa na jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Mohammed Chande Othman kuwa mjumbe wa Baraza la Mawaziri la Jamuhuri…

Read More

Wafanyakazi msigeuze sehemu za kazi kuwa majukwaa ya siasa.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewataka wafanyakazi nchini kutozigeuza sehemu za kazi kuwa majukwaa ya kisiasa badala yake kufanya kazi kwa bidii…

Read More

Viongozi walioteuliwa na Dk. Shein waapishwa

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein amewapisha viongozi mbali mbali kushika nyadhifa katika taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Walioapishwa…

Read More

Dk.Shein ameteua viongozi katika Taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa viongozi katika Taasisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kama ifuatavyo:-…

Read More

Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema Peponi Marehemu Abdalla Mohamed Mshindo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mpinduzipia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akijumuika na Viongizi na Waislamu katika kumswalia aliyekuwa Mwenyekiti wa…

Read More

Dhamira yetu kuona watumishi wanapata maslahi bora kumudu gharama za maisha

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema dhamira ya Serikali ni kuona watumishi wake wanapata maslahi mazuri zaidi ili kumudu gharama za maisha.Hata…

Read More