Wananchi walioathirika na mvua za masika wamehakikishiwa hakuna atakae kaa na njaa .

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar itahakikisha inawapelekea huduma zote muhimu wananchi waliaothirika na mvua za masika na hakuna hata mwananchi mmoja miongoni mwao atakae kaa na njaa kwa kukosa…

Read More

DK.Shein awaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu Makatibu Wakuu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein leo amewaapisha Makatibu Wakuu na Manaibu Makatibu Wakuu ambao aliwateua hapo jana.Katika sherehe hiyo iliyofanyika…

Read More

Dk. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa Manaibu na Makatibu Wakuu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa viongozi katika Wizara mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kama ifuatavyo:

Read More

Tume ya Mipango ina jukumu kubwa katika kufikia lengo na dhamira ya Serikali,

WAZIRI wa Fedha na Mipango Mhe. Khalid Salum Mohammed amesema kuwa Tume ya Mipango ina jukumu kubwa katika kufikia lengo na dhamira ya Serikali katika kipindi hiki cha pili cha Awamu ya Saba…

Read More

Mhe. Gavu ameeleza haja kwa viongozi na wafanyakazi wa Wizara kuendeleza mashirikiano ya pamoja.

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Issa Haji Ussi Gavu ameeleza haja kwa viongozi na wafanyakazi wa Wizara hiyo kuendeleza mashirikiano ya pamoja katika utendaji…

Read More

Kikao cha kwanza cha Baraza la Mapinduzi (BLM) mara baada ya kuwaapisha Viongozi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akiongoza kikao kilichofanyika kiliwajumuisha Mawaziri pamoja na Naibu Mawaziri wote wa wizara 13 katika ukumbi wa Baraza…

Read More

Dk.Shein amewaapisha Mawaziri na Manaibu Mawaziri wa Wizara mbali mbali

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein leo amewaapisha Mawaziri na Manaibu Mawaziri wa Wizara 13 za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na Mawaziri…

Read More

Dkt.Shein ameunda Wizara 13 na kuwateua Mawaziri, Manaibu na Mawaziri Wasiokuwa na Wizara Maalum.

Kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya Vifungu 42, 43, 44 na 47 vya Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein ameunda…

Read More