Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Tunguu umekamilika kwa asilimia 90 (90%)

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali imeeleza kuwa ujenzi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar Tunguu umekamilika kwa asilimia 90 ambapo Mkandarasi ameahidi kukamilisha kazi yote na kukabidhi…

Read More

Dk.Shein ametangaza huduma za kujifungua katika hospitali za umma Unguja na Pemba zifanyike bure.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, ametangaza kuwa huduma za uzazi kwa akina mama wajawazito wanaokwenda kujifungua katika hospitali za umma Unguja na…

Read More

Dk Shein awataka Wazanzibar kusubiri Tume ya uundwaji wa Katiba mpya ianzekazi ndipo watoe maoni yao

WAZANZIBARI wametakiwa kusubiri Tume ya Kuratibu na Kukusanya Maoni ya Wananchi kuhusu Mapendekezo ya Uundwaji wa Katiba Mpya ianze kazi ndipo watoe maoni yao kwani hata wakitoa hivi sasa hakuna…

Read More

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imejenga Tuta la kuzuiya Maji ya Chumvi yasiingie mashambani

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar imechukuwa juhudi ya kuwajengea Tuta la kuzuiya Maji ya Chumvi yasiingie katika Mashamba ya wakulima wa bonde la Ukele, Micheweni Pemba baada ya kuona juhudi za…

Read More

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar itaendelea kulinda uhuru wa dini zote

SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar itaendelea kulinda uhuru wa dini zote lakini haitavumilia vitendo vyovyote vya uvunjaji wa sheria vinavyofanywa na baadhi ya watu kwa jina la dini huku akisisitiza…

Read More

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akimuapisha

Mhe.Ali Juma Shahuna kuwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali ambapo kabda ya kiapo hicho alikuwa Waziri wa Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati katika ni Katibu Mkuu Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa…

Read More

Dk.Shein amewaapisha Mawaziri pamoja na Mshauri wa Rais Pemba

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein amewaapisha Mawaziri kufuatia mabadiliko aliyoyafanya kwa kuwabadilisha Wizara baadhi ya Mawaziri hivi karibuni…

Read More