Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Shein amezungumza na Wazee wa CCM wa Wilaya ya Kusini Unguja.

MAKAMO Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, ameiunga mkono kauli ya Wazee wa CCM wa Mkoa wa Kusini Unguja ya kuwa Mkoa huo…

Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akitoa Hutuba yake wakati alipokuwa akizungumza na Wazee wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kaskazini(A).

DK.SHEIN AMERIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA BARABARA YA BUBUBU-MAHONDA HADI MKOKOTONI.

MAKAMO Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, ameeleza kuridhishwa na kasi kubwa inayoendelea ya ujenzi wa barabara ya Bububu-Mahonda…

Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti a Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa hutuba   ya ufunguzi wa Maadhimisho ya Maonesho ya kutimia miaka 20 ya kuanzishwa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki yaliyofanyika katika viwanja vya Fumba Mji mpya.

DK.SHEIN AMEFUNGUA MAONESHO YA MIAKA 20 YA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa eneo la Afrika Mashariki ni sehemu nzuri kiuchumi, iwapo utatumiwa vizuri ujuzi, maarifa, ubunifu pamoja…

Read More

WAZEE WAMEMPONGEZA DK. SHEIN.

WAZEE wa CCM Wilaya ya Magharibi Unguja wameeleza kuridhishwa na uongozi wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein ambaye pia, ni Makamo Mwenyekiti wa CCM…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar DK.Ali Mohamed Shein akizungumza na Wazee wa CCM wa Wilaya ya Mjini patika mkutano wa ndani akiwa katika ziara zake za kuimarisha Chama leo katika ukumbi wa Ofisi

DK.SHEIN KATIKA ZIARA ZA KUIMARISHA CHAMA CHA CCM.

MAKAMO Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein, amesema kuwa Serikali anayoiongoza itaendelea kuwatunza na kuwaenzi wazee ikiwa…

Read More

UZINDUZI WA KITABU CHA MH. BENJAMIN WILLIAM MKAPA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein leo ameungana na viongozi mbali mbali wa Kitaifa katika uzinduzi wa Kitabu cha Maisha Binafsi ya Rais Mstaafu wa Jamhuri…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzin Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein akijumuika katika Maulid ya kuadhimisha kuzaliwa kwa Mtume Muhammad S.A.W.yaliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja

MAULIDI YA KUZALIWA MTUME MUHAMMAD (S.A.W).

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein jana aliwaongoza Waumini wa dini ya Kiislamu pamoja na wananchi mbali mbali katika Maulidi ya kuadhimisha Kuzaliwa…

Read More

DK.SHEIN AMEKUTANA NA RAIS WA MAHAKAMA YA AFRIKA YA HAKI ZA BINAADAM.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza kuwa Zanzibar imeweza kupiga hatua kiuchumi, kijamii na kisiasa kutokana na ushirikiano wa Mihimili yake mikuu…

Read More