Umoja wa Mataifa (UN) umeahidi kuendelea kuiunga mkono Zanzibar.

UMOJA wa Mataifa (UN) umeahidi kuendelea kuiunga mkono Zanzibar katika kuhakikisha miradi yote ya maendeleo inayosimamiwa na Mashirikia yake inatekelezwa kikamilifu na kupata mafanikio kwa azma…

Read More

DK. SHEIN AMEMUAPISHA NAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA BIASHARA NA VIWANDA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein leo amemuapisha Khadija Khamis Rajab kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Biashara na Viwanda.

Read More

Uzinduzi wa Mkutano wa Wakuu wa Sadc

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli leo amekabidhiwa rasmi Uwenyekiti wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) baada ya aliekuwa Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo…

Read More

BARAZA LA IDD EL HAJJ.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein amewasisitiza wananchi kuendelea kudumisha amani na utulivu na kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kutoa…

Read More

DK. SHEIN AMETUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI MOROGORO.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dk. Kebwe Stephan Kebwe kufuatia ajali ya kuripuka kwa lori…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe, Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa Ufungaji wa Maonesho ya Nne ya Wiki ya Viwanda ya SADC,uliofanyika katika ukumbi wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam.

DK. ALI MOHAMED SHEIN AMEFUNGA MAONESHO YA NNE YA WIKI YA VIWANDA YA SADC.

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zinaendelea kuchukua hatua za kisera na za kimkakati katika ujenzi wa uchumi wa viwanda ili Jamhuri ya Muungano…

Read More
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimsikiliza  Mwakilishi wa Shirika la UNESCO Tanzania Bw.Tirso  Dos Santos wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika leo alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa ajili ya kujitambulisha .

DK.SHEIN AMEKUTANA NA MWAKILISHI WA UNESCO.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza umuhimu wa kukuza uhusiano na ushirikiano uliopo kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Shirika la Umoja…

Read More