Uzinduzi wa Skuli ya Kijini Matemwe Unguja

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema uzinduzi wa vyumba vya madarsa ya skuli ya Sekondari Kijini, una mnasaba mkubwa na utekelezaji wa Ilani ya…

Read More

MAJUMUISHO YA ZIARA YA DK. SHEIN WILAYA YA MAGHARIBI ‘B’ UNGUJA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza kuridhishwa na utekelezaji wa shughuli mbalimbali za chama na serikali zilizotekelezwa katika Wilaya ya Magharibi…

Read More

MAJUMUISHO YA ZIARA YA DK. SHEIN WILAYA YA MAGHARIBI ‘A’ UNGUJA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameeleza kuwa migogoro ya ardhi iliyopo katika Wilaya ya Magharibi A, inachingiwa na baadhi ya viongozi wa Wilaya hiyo…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akihutubia wakati wa Majumuisho ya ziara yake katika Wilaya ya Mjini Unguja.

MAJUMUISHO YA ZIARA YA DK. SHEIN WILAYA YA MJINI UNGUJA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amesisitiza suala zima la maadili kwa viongozi ikiwa ni pamoja na kujua wajibu wao na wanao waongoza.

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Tangi la Maji Safi na Salama katika eneo la Saaten Zanzibar akiwa katika ziara yake Wilaya ya Mjini Unguja,

DK.SHEIN AMEWEKA JIWE LA MSINGI MRADI YA UJENZI WA TANGI LA MAJI SAATENI ZANZIBAR.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewaeleza wananchi wa Mkoa wa Mjini kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itahakikisha inaukamilisha mradi wa maji…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, akiwa amesimama wakati ukipigwa wimbo wa Taifa baada ya kuwasili katika viwanja vya Kambi ya JWTZ Chukwani Zanzibar.

DK.SHEIN AMEJUMUIKA NA VIKOSI VYA ULINZI NA USALAMA WALIOSHIRIKI GWARIDE MAPINDUZI YA ZANZIBAR.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ameungana pamoja na Wapiganaji wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama waliovyoshiriki katika Maadhimisho ya sherehe za kutimiza…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akiwa na Viongozi wa meza kuu.

DK. SHEIN AMEJUMUIKA NA VIJANA WALIOSHIRIKI SHEREHE ZA MAPINDUZI KATIKA CHAKULA CHA MCHANA.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,leo amejumuika pamoja katika chakula cha mchana na mamia ya vijana na wananchi walioshiriki katika sherehe za maadhimisho…

Read More
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Viongozi wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) walipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo.

DK. SHEIN AMEZUNGUMZA NA VIONGOZI WA UWT ZANZIBAR.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amepongeza azma ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT), kufanya Kongamano la Kitaifa la kupongeza utekelezaji wa Ilani…

Read More