Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na Mkuu wa Mkoa wa Kusin Unguja Mhe.Hassan Khatib Hassan alipotembelea Eneo linalotarajiwa kujengwa Mahkama Kuu ya Zanzibar katika ziara maalum aliyoifanya Tunguu Wilaya

DK.SHEIN AMEFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA ENEO LINALOTARAJIWA KUJENGWA MAHKAMA KUU YA ZANZIBAR.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inafuata utawala bora na haiko tayari kupambana na wananchi wake na…

Read More

Kuanzishwa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo ni mikakati ya Zanziba kurejea katika uasili wake

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema kuwa kuanzishwa kwa Taasisi ya Utafiti wa Mifugo ni miongoni mwa mikakati ya kuirejesha Zanzibar katika uasili…

Read More

Dk.Shein amemtumia salamu za pongezi Waziri Mkuu wa Jamhuri ya India.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein amemtumia salamu za pongezi Waziri Mkuu wa Jamhuri ya India Narendra Damodardas Modi, kwa kuadhimisha miaka 72 tokea…

Read More

Suza kuanzisha uhusiano na ushirikiano na Chuo cha Utalii cha Bali nchini Indonesia.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein ametoa fursa maalum kwa uongozi wa Chuo cha Utalii cha Bali kuanzisha uhusiano na ushirikiano kati ya Chuo hicho na…

Read More

Vikundi vya Wanawake vya Indonesia na vile vya Zanzibar kuanzisha ushirikiano

MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein amesisitiza haja ya kuwepo kwa mashirikianao kati ya vikundi vya wanawake vya Indonesia na vile vya Zanzibar kwa lengo la kuongeza kasi katika juhudi…

Read More

Dk.Shein,ameondoka nchini kuelekea Uingereza kwa safari maalum ya wiki tatu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, ameondoka nchini leo kuelekea Uingereza kwa safari maalum ya wiki tatu.Katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid…

Read More

Uteuzi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein kwa kutumia uwezo aliopewa chini ya Kifungu 119 cha Katiba ya Zanzibar ya Mwaka 1984 amefanya uteuzi wa…

Read More

UTEUZI

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa viongozi katika taasisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kama ifuatavyo:-

Read More