Wawekezaji wa sekta ya utalii kutoka nchini Saud Arabia wamekaribishwa kuja kuekeza Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amewakaribisha wawekezaji wa sekta ya utalii kutoka nchini Saud Arabia kuja kuekeza Zanzibar kutokana na fursa zilizopo…
Read More