News and Events

Viongozi walioteuliwa na Dk. Shein waapishwa

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein amewapisha viongozi mbali mbali kushika nyadhifa katika taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Walioapishwa…

Read More

Dk.Shein ameteua viongozi katika Taasisi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa viongozi katika Taasisi mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kama ifuatavyo:-…

Read More

Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema Peponi Marehemu Abdalla Mohamed Mshindo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mpinduzipia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akijumuika na Viongizi na Waislamu katika kumswalia aliyekuwa Mwenyekiti wa…

Read More

Wananchi walioathirika na mvua za masika wamehakikishiwa hakuna atakae kaa na njaa .

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar itahakikisha inawapelekea huduma zote muhimu wananchi waliaothirika na mvua za masika na hakuna hata mwananchi mmoja miongoni mwao atakae kaa na njaa kwa kukosa…

Read More

Dk. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa Manaibu na Makatibu Wakuu

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mheshimiwa Dk. Ali Mohamed Shein amefanya uteuzi wa viongozi katika Wizara mbali mbali za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kama ifuatavyo:

Read More