Media

Rais Mwinyi amefutarisha Wananchi wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amejumuika na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika futari aliyoiandaa kwa ajili ya wananchi wa Mkoa wa Mjini…

Read More

Dkt. winyi ameihimiza Benk ya KCB kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi kuwawezesha Vijana.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumzia changamoto zinazowakabili vijana, ameisisitiza benki ya KCB Tanzania kupitia programu ya kurudisha…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi ameipongeza Hospital ya Benjamini Mkapa kwa mageuzi ya huduma za Kibingwa.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameipongeza Hospitali ya Benjamin Mkapa iliyopo Dodoma kwa mageuzi na mafanikio makubwa katika utoaji wa huduma…

Read More

Rais Dkt. Mwinyi amesema mashindano ya Quraan yameiweka Tanzania kwenye ramani ya Kimataifa.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Mashindano Makubwa ya Kimataifa ya Quraan Tukufu kwa mabara yote duniani yameendelea kuwa chachu…

Read More