News and Events

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza dhamira yake ya kuzihuisha mali zinazomilikiwa na chama cha Mapinduzi (CCM) kwa lengo la kukiendeleza chama hicho.

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi ameeleza dhamira yake ya kuzihuisha mali zinazomilikiwa na chama cha…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameahidi kukijenga chama kiuchumi kwa kuimarisha miundombinu wezeshi ya utendaji kwa watendaji wake ili kuboresha ufanisi ndani ya chama hicho

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameahidi kukijenga chama kiuchumi kwa kuimarisha miundombinu wezeshi ya…

Read More

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itajitahidi kutoa msaada kwa kadri itakavyowezekana kwa taasisi zilizobeba dhima ya kuwasafirisha mahujaji kwaajili ya ibada ya Hijja,

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itajitahidi kutoa msaada kwa kadri itakavyowezekana kwa taasisi zilizobeba dhima ya kuwasafirisha mahujaji kwaajili ya ibada ya Hijja, kupitia taasisi…

Read More

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema ina nia ya dhati ya kujinufaisha zaidi na matunda ya baharini kupitia sera yake ya Uchumi wa buluu kwa kuvuna mengi zaidi kuliko inavyoendelea kunufaika.

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema ina nia ya dhati ya kujinufaisha zaidi na matunda ya baharini kupitia sera yake ya Uchumi wa buluu kwa kuvuna mengi zaidi kuliko inavyoendelea kunufaika…

Read More