News and Events

Dk. Hussein Ali Mwinyi ameishukuru Jumuiya ya Ulaya (EU) kwa Zanzibar kuwa miongoni mwa maeneo yatakayopata misaada kutoka Jumuiya hiyo kwa ajili ya kuendeleza miradi mbali mbali ya Maendeleo.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameishukuru Jumuiya ya Ulaya (EU) kwa Zanzibar kuwa miongoni mwa maeneo yatakayopata misaada kutoka Jumuiya hiyo kwa…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wananchi kuwa wavumilivu na kustahimili changamoto mbali mbali zitakazojitokeza wakati mradi mkubwa wa ujenzi wa Barabra za Mjini utakapoanza

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wananchi kuwa wavumilivu na kustahimili changamoto mbali mbali zitakazojitokeza wakati mradi mkubwa wa ujenzi…

Read More

Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wanachama wa CCM kuchagua viongozi makini watakaoweza kukivusha Chama hicho katika Uchaguzi mkuu ujao wa 2025.

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wanachama wa CCM kuchagua viongozi makini…

Read More