RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhja Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Imamu wa Masjid Arafa Mombasa Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Sheikh. Ali Yunus Mbwana, baada ya kumalizika kwa Sala ya Ijumaa iliyofanyika katika Masjid hiyo.