Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa iliyopo Dodoma amabae ameambatana na ujumbe wake, na
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa iliyopo Dodoma amabae ameambatana na ujumbe wake, na ameipongeza Hospitali hiyo kwa mageuzi na mafanikio makubwa katika utoaji wa huduma za matibabu ya kibingwa kwa wananchi.