President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
  • Home
  • President's Office
    • Overview
    • Vision & Mission
    • President
    • Past Presidents
  • Administration
    • Revolutionary Council
    • Office of the President
  • Media
    • News and Events
    • Speeches and Statements
    • Press Releases
    • Photos
    • Videos
    • Videos 2
  • Publications
    • Speeches
    • Action Plans
    • Publications
    • Reports
    • Budgets
  • Blog
  • Contact Us

Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekabidhiwa msaada wa Vifaa Tiba na dawa kutoka kwa Madaktari Bingwa wa Jamhuri ya watu wa China wanaotoa huduna za Afya katika Hospitali za Unguja na Pemba

  • 07 Jun 2022
  • News and Events
  • 122
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Kiongozi wa Madaktari Bingwa kutoka China Dr.Qu Lishuai wakati akikabidhi Vifaa Tiba kwa ajili ya matumizi ya Hospitali ya Rufaa ya Mnazi Mmoja Unguja,Kivunge Mkoa wa Kaskazini Unguja, Chake chake Pemba na Hospitali ya Abdalla Mzee Mkoani Pemba, hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 7-6-2022. (Kulia kwa Dr Qu ) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui.

Media

  • Rais Dkt. Mwinyi na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Mwinyi akimkabithi Kitabu Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Salama Mbarouk katika uzinduzi wa Tamasha la Uwekezaji Zanzibar 2025
  • Pemba kuwa Kitovu cha uwekezaji na maendeleo Jumuishi.
  • Zanzibar inajipanga kuendelea kujenga Miundombinu ya Viwanja vya Ndege ili kuiifanya kuwa Kituo bora cha Utoaji wa huduma za Usafiri wa Anga
  • SMZ imeweka mkazo kuifungua Pemba kiuchumi.
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu na Naibu Mkurugenzi wa Chuo cha Utafiti wa Dawa za Asili za Kichina Prof.Song Li Juan, baad
  • RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akifurahia jambo wakati akibadilishama mawazo na Viongozi wa Serikali,baada ya kumalizika kwa Sala ya Eid Al-Adha, il
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dkt. Hussein Ali Mwinyi,akiwasili katika ukumbi wa Dkt. Ali Mohammed Shein – SUZA, Tunguu, Mkoa wa Kusini Unguja kwa ajili ya kuhudhuria ka
  • SMZ kusaidia uanzishwaji wa Mfuko wa Hijja
  • Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dkt.Hussein Ali Mwinyi amejumuika pamoja na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Sala ya Eid Al Adha
  • Rais Dkt. Mwinyi alifika nyumbani kwa familia ya Marehemu Sheikh Jabir bin Haydar bin Jabir Al-Farsy eneo la Kikwajuni, Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Magharibi kutoa salamu za rambirambi pamoja na k

Subscribe to RSS Feeds

Get all latest content delivered to your email a few times a month.

  • English
  • Swahili
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar

Quick Links

  • Overview
  • Vision & Mission
  • President
  • Past Presidents
  • Revolutionary Council
  • Office of the President

Categories

  • Blog
  • News and Events
  • Speeches and Statements
  • Press Releases
  • Photos
  • Videos
  • Useful Links

Useful Links

  • First Vice President Office
  • Second Vice President Office
  • Chief Secretary Zanzibar
  • House of Representatives
  • Zanzibar Investment Promotion Authority
  • Ministry of Finance and Planning Zanzibar

Talk to the President App

© Copyright 2025 - President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar

  • Home
  • Privacy Policy
  • Feedback
  • E-Office
  • Webmail