RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akishiriki katika kuitikia dua ya kumuombea Marehemu Hassan Ali Hassan Mwinyi ikisomwa na Sheikh Shariff
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akishiriki katika kuitikia dua ya kumuombea Marehemu Hassan Ali Hassan Mwinyi ikisomwa na Sheikh Shariff (hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa maziko hayo yaliyofanyika katika Kijiji cha Mangapwani Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja leo 31-8-2022 na (kushoto kwa Rais) Rais Mstaafu wa Tanzania Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhaj Hemed Abdulla Suleiman na Rais Mstaafu wa Zanzibar Alhaj Dkt.Amani Karume.