Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) alipofika Nyumbani kwa Mbunge wa Jimbo la Bububu Mhe.Mwantakaje Haji Juma kutoa Mkono wa pole.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) alipofika Nyumbani kwa Mbunge wa Jimbo la Bububu Mhe.Mwantakaje Haji Juma (wa pili kulia) leo kutoa Mkono wa pole baada ya kufiliwa na mume wake Marehemu Mohamed Ali Juma, Kijichi Wilaya ya Magharibi"A" Mkoa wa Mjini Magharibi.