RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Msarifu wa Taasisi ya Benjamin Mkapa Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi akifurahia jambo na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Msarifu wa Taasisi ya Benjamin Mkapa Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi akifurahia jambo wakati akiagana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Philip Isdor Mpango na (kulia kwa Rais) Rais Mstafu wa Msumbiji Mhe Joachim Chisano, baada ya kumalizika kwa mkutano wa kumbukizi ya Hayati Benjamin William Mkapa, uliofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kuembesamaki Unguja