RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Kitabu cha Mpango wa Kitaifa wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii Zanzibar Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Kitabu cha Mpango wa Kitaifa wa Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii Zanzibar Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya Zanzibar Dkt. Amour Suleiman Mohamme, baada ya uzinduzi huo uliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja leo 16-12-2023 na (kushoto kwake) Waziri wa Afya Zanzibar Mhe. Nassor Ahmed Mazrui