Rais wa Zanzibar ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwimyi amelifungua jengo jipya l a Tawi la CCM Sebleni.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi alipowasili katika viwanja vya Tawi la CCM Sebleni, kwa ajili ya kulifungua jengo jipya la Tawi la CCM.
RAIS wa Zanzibar na MBLM ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi, akikata utepe kulifungua Jengo Jipya la Tawi la CCM Sebleni Jimbo la Kwahani na (kushoto kwa Rais) Mbunge wa Jimbo la Kwani Mhe Ahmada Yahya Abdulwakil
RAIS wa Zanzibar na MBLM ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimtusha ndoo ya maji Mwananchi wa Sebleni baada ya kukizindua Kisima kipya cha Maji Safi na Salama.
MUONEKANO wa jengo jipya la Tawi la CCM Sebleni Jimbo la Kwahani lililojengwa na Mbunge na Mwakilishi wa Jimbo hilo na kufunguliwa leo 18-9-2021 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa .Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea jengo la Tawi la CCM Sebleni baada ya kulifungua rasmin leo 18-9-2021, akipota maelezo kutoka kwa Katibu wa CCM Jimbo la Kwahani Ndg.Ramadhan Juma (kulia kwa Rais).
WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi na Wananchi wa Jimbo la Kwahani Zanzibar wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akiwahutubia wakati wa hafla ya ufunguzi wa jengo jipya la Tawi la CCM Sebleni.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Seti ya TV Kiongozi wa Maskani ya Mohammed Ali Bi.Subira Omar, wakati wa hafla ya ufunguzi wa jengo jipya la Tawi la CCM Sebleni Jimbo la Kwahani Zanzibar, hafla hiyo imefanyika katika viwanja vya Tawi hilo Sebleni.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi. akiwahutubia Wananchi wa Jimbo la Kwahani Zanzibar,wakati wa hafla ya ufunguzi wa jengo jipya la Tawi la CCM Sebleni na Kisiwa cha Maji Safi na Salama Sebleni
Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na Balozo wa India Nchini Tanzania.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa katika mazungumzo na Balozi wa India nchini Tanzania Mhe.Binaya Srikanta Pradhan wakati alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa akimsikiliza mgeni wake Balozi wa India nchini Tanzania Mhe. Binaya Srikanta Pradhan wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika Ukumbi wa Ikulu jijini Zanzibar alipofika kujitambilisha.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa katika mazungumzo na Balozi wa India nchini Tanzania Mhe.Binaya Srikanta Pradhan alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha leo akiwepo na Balozi Mdogo ayefanya kazi zake Zanzibar Mhe.Bhagwant Singh.
Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwaapisha Viongozi aliowateua hivi Karibuni.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Ndg.Hamid Seif Said kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo 16-9-2021 katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Ndg. Kubingwa Mashaka Simba kuwa Katibu wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo 16-9-2021 katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
WAKUU wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama Zanzibar wakifuatilia hafla ya kuapishwa kwa Viongozi walioteuliwa hivi karibuni na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, hafla hiyo imefanyika leo 16-9-2021 katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe.Othman Masoud Othman akihudhuria hafla ya kuapishwa kwa Viongozi walioteuliwa hivi karibuni na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) na kulia,Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid wakifuatilia hafla hiyo iliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu wakihudhuria hafla ya kuapishwa kwa Vionfgozi walioteuliwa hivi karibuni na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
BAADHI ya Wanafamilia wakifuatilia hafla ya kuapishwa kwa Viongozi walioteuliwa hivi karibini na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
VIONGOZI walioteuliwa hivi karibuni na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi, wakiwa katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar wakisubiri kuapishwa.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Dkt.Juma Yakuti Juma kuwa Naibu Katibu wa Baraza la Mapinduzi,hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 16-9-2021.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Ndg.Suleiman Ali Suleiman kuwa Naibu Katibu Msaidizi wa Baraza la Mapinduzi (Sera,Ufuatiliaji na Tathimini) hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar leo 16-9-2021.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kimuapisha, Dkt.Othman Abbas Ali kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo 16-9-2021 katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Bi.Mgeni Khatib Yahya kuwa Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Pemba, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo 16-9-2021 katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Dkt.Hamad Omar Bakari kuwa Mkuu wa Wilaya ya Wete Pemba, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo 16-9-2021 katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Ndg. Khatib Juma Mjaja kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mkoani Pemba, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo 16-9-2021 katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Ndg.Hamid Seif Said kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kaskazini “B” Unguja, hafla hiyo ya kuapishwa imefanyika leo 16-9-2021 katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja baada ya kuwaapisha Viongozi aliowateua hivi karibuni wakiwa wamesimama nyuma na (kulia kwa Rais) Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Zuberi Ali Maulid na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said.
Rais wa Zanzibar Alhaj.Dk.Hussein Ali Mwinyi amejumuika na Wananchi katika Maziko ya Marehemu Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk,Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Khalid Ali Mfaume.(hayupo pichani)baada ya kumalizika kwa maziko ya Marehemu Jaji wa Mahkama Kuu ya Zanzibar. Haji Omar Haji na (kulia kwa Rais) Jaji Mkuu wa Zanzibar Alhaj. Omar Othman Makungu na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman na (kushoto kwa Rais) Naibu Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Wadi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla, wakijumuika katika kuitikia dua ya kumuombea marehemu.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa Sala ya kuuswalia mwili wa Marehemu Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar Haji Omar Haji, iliofanyika katika Masjid Noor Kombeni Wiliya ya Magharibi ‘B’ Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi katika maziko ya Marehemu Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar Haji Omar Haji, yaliofanyika katika Kijiji cha Shakani Wilaya ya Magharibi ‘B’ Unguja.
WANANCHI wakihudhuria maziko ya Marehemu Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar Haji Omar Haji yaliofanyika katika makaburi ya Kijiji cha Shakani Wilaya ya Magharibi ‘B’ Unguja.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana wa Jaji Mkuu wa Zanzibar Alhaj Omar Othman Makungu baada ya kumalizika kwa maziko ya Marehemi Jaji wa Mahkama Kuu Zanzibar. Haji Omar Haji, yaliofanyika katika makaburi ya Shakani Wilaya ya Magharibi ‘B’ Unguja
Rais wa Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amekutana na kuzungumza na Ujumbe wa Taasisi ya Global Water Partnership Southern Africa Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Katibu Mtendaji wa Taasisi ya “Global Water Partnership Southern Africa” Bw.Alex Simalabwi, alipofika Ikulu Zanzibar na Ujumbe wake kwa mazungumzo yaliofanyika katika Ukumbi wa Ikulu.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Taasisi ya “Global Water Partnership Southern Africa”walipofika Ikulu kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar, ukiongozwa na Katibu Mtendaji wa Taasisi hiyo Kanda ya Afrika Bw. Alex Simalabwi(kulia kwa Rais).
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa picha ya ramani ya Bara la Afrika na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya “Global Water Partnership Southern Africa”Bw.Alex Simalabwi, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe wa Taasisi ya “Global Water Partnership Southern Africa”walipofika Ikulu kwa mazungumzo yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar, ukiongozwa na Katibu Mtendaji wa Taasisi hiyo Kanda ya Afrika Bw. Alex Simalabwi.(kulia kwa Rais)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Ujumbe wa Taasisi ya “Global Water Partneship Southern Africa” baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar 9-9-2021